Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Hivi Mwinyi na Mkapa wameshindwa kumshauri JK kwa kusoma upepo? Ni dhahiri chama kinaweza kumfia mikononi.
 
Hao wote wanakubaliwa na USA kwa maslahi ya Watu wa Marekani.... Hapa Gas na Mafuta ndo vimeangaliwa Zaidi kwa manufaa ya watu wa Magharibi ... si Zaidi ya hapo .... UKAWA now or never ....

1.Members:.Huyu ni ndugu na kipenzi wa mwenyekiti na familia kwa ujumla, alishaandaliwa toka siku nyingi,ndo maana hata jana Rais alipoteua wasaidizi wake Ikulu ilikua lazima mtu ufikirie Mara mbili mbili na huyu ndiye mgombea atakayepeperusha bendera ya chama.
2.Magufuli:Huyu nae utendaji wake pekee ndiye uliempatia nafasi hakuna kiingine japo nae ni swahiba wa karibu wawenyekiti.Kwake kupenya kwenye vikao vya mbele ni ngumu sana Labda busara ya kawaida tu itumike.Anaweza kua PM japo kiuhalisia yeye ni bora kuliko wote walioteuliwa.
3.Asha Rose Migiro: Huyu kwanza jinsia ndiyo kigezo pekee japo nae alikwishaandaliwa toka siku nyingi lakini baadae upepo ukahamia kwa mebe. Kwake kupenya mbele inategemeana na kelele za wanawake wenzake mkutano mkuu.
4.Mama Amina: Huyu jinsia na Uzanzibar wake kama mwanamke ndivyo vilivyombeba, Kuna uwezekano mkubwa akawa makamu wa Rais maana naye kupenyeza kwake mbele ni kelele za wanawake wenzie huko mkutano mkuu.
5.January Makamba: Ikumbukwe kwamba huyu bwana baba yake aliwahi kua katibu mkuu wa chama, hiyo pia ni sababu kwahiyo kuna uwezekano kwamba hii ni fadhila na anaandaliwa kwa baadae kumrithi atakaekua Rais,Sidhani kama Janauary Makamba Anaweza kumkaribia Mwigulu nchema kiutendaji wa kazi.Anayo nafasi kubwa sana kupenyeza huko mbele maana wanaomuunga mkono ni wengi lakini atawekwa kando kama JK 1995 nasubiri baadae.

Ukweli na uhalisia ndo huo!
 
1.Members:.Huyu ni ndugu na kipenzi wa mwenyekiti na familia kwa ujumla, alishaandaliwa toka siku nyingi,ndo maana hata jana Rais alipoteua wasaidizi wake Ikulu ilikua lazima mtu ufikirie Mara mbili mbili na huyu ndiye mgombea atakayepeperusha bendera ya chama.
2.Magufuli:Huyu nae utendaji wake pekee ndiye uliempatia nafasi hakuna kiingine japo nae ni swahiba wa karibu wawenyekiti.Kwake kupenya kwenye vikao vya mbele ni ngumu sana Labda busara ya kawaida tu itumike.Anaweza kua PM japo kiuhalisia yeye ni bora kuliko wote walioteuliwa.
3.Asha Rose Migiro: Huyu kwanza jinsia ndiyo kigezo pekee japo nae alikwishaandaliwa toka siku nyingi lakini baadae upepo ukahamia kwa mebe. Kwake kupenya mbele inategemeana na kelele za wanawake wenzake mkutano mkuu.
4.Mama Amina: Huyu jinsia na Uzanzibar wake kama mwanamke ndivyo vilivyombeba, Kuna uwezekano mkubwa akawa makamu wa Rais maana naye kupenyeza kwake mbele ni kelele za wanawake wenzie huko mkutano mkuu.
5.January Makamba: Ikumbukwe kwamba huyu bwana baba yake aliwahi kua katibu mkuu wa chama, hiyo pia ni sababu kwahiyo kuna uwezekano kwamba hii ni fadhila na anaandaliwa kwa baadae kumrithi atakaekua Rais,Sidhani kama Janauary Makamba Anaweza kumkaribia Mwigulu nchema kiutendaji wa kazi.Anayo nafasi kubwa sana kupenyeza huko mbele maana wanaomuunga mkono ni wengi lakini atawekwa kando kama JK 1995 nasubiri baadae.

Ukweli na uhalisia ndo huo!

....Kweli umepatiaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Sasa kazi Imeanza. Ccm itapasuka? Fedha zilizotumika zitarudije? Lowasa atahamia ACT kama ilivyozungumzwa? Ni mwisho wa ccm au bado kitaendelea kudunda?
 
Kwa yaliyojiri kwenye CC ni dhahiri JK anataka kuigeuza nchi hii kuwa ya kifalme.

Iwapo watanzania watabugi step na kumpigia kura 'bamdogo' basi tutarajie next President wa year 2025 atakuwa Riz-One.
Wanataka baada ya Membe afuate Makamba then Rizone.
 
Nkwingwa,

Ina maana hizo taarifa si rasmi....?
Zimetolewa kwenye akaunti inayodaiwa ni ya CCM...Ambayo sio verified...

Kwa zama hizi za mtandao lolote laweza kuibuka na kuonekana la kweli..

Kawaida taarifa rasmi hutolewa na Katibu wa NEC - Itikadi na uenezi Nape Nnauye....

Mpaka dakika hii Nape hajatoa taarifa rasmi Nkwingwa...
 
Mchezo utakuwa hivi tatu ataingia Membe,Amina na Makamba mkutano mkuu Makamba ataambiwa ajitoe kwa kigezo kuwa anamuunga Membe mkono hivyo watabaki Membe na Amina kura zitapigwa Membe atashinda na kuipeperusha bendera ya ccm.
 
Kwa yaliyojiri kwenye CC ni dhahiri JK anataka kuigeuza nchi hii kuwa ya kifalme.

Iwapo watanzania watabugi step na kumpigia kura 'bamdogo' basi tutarajie next President wa year 2025 atakuwa Riz-One.

Hata mimi limenishangaza hili! Inakuwaje unamkuta Lowassa halafu unaacha jina la Membe? Kikwete na CC wamekosa busara. Tangu mbio hizi za watia nia wa CCM zianze hakuna makundi yaliyokuwa hasimu kama kundi la Lowassa na Membe. Haya makundi yalitishia kukigawa chama.

Busara ya kawaida ilikuwa kama unakata jina la Lowassa basi na jina la Membe unalikata ili kulinda UMOJA wa chama. Lakini kukata jina moja na kuacha jina jingine, ndio umekigawa kabisa chama katika makundi mawili and believe me CCM itaingia kwenye uchaguzi wakiwa sio wamoja kama Membe ndiye atapeperusha bendera ya CCM.

Mimi nafikiri mapenzi ya Kikwete kwa mke wake, yanakiua chama! Wote tunajua Membe ni changuo la WAMA na ndio wamekuwa behind his campaign all the way.
 
Nhamala,
Nchi yetu imekuwa ni kama shamba la walevi.

Yaani Kamati Kuu inatupa eti message inayosema Makamba Jnr anaweza kuwa Rais wa Tanzania.

Huyu kijana kwanza ni mnafiki nafiki na pia huwa ninamuona kama tapeli fulani wa kisiasa.

Nitakubaliana na Kamati Kuu kama wamemuweka ili kusafisha njia kwa Membe. Kama wamemuweka wakiwa serious, basi CCM ina matatizo makubwa sana huko mbeleni.

Hata kama ni ujana, kuna vijana wengine walikuwa better zaidi ya huyu kijana.

Ama kweli, uwezo wa Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete ndiyo una akisi hali ya chama na chaguzi za ndami ya chama.
Huyo(Makamba) kawekwa kwa sababu kuu 4
1.Hana kundi kubwa la kuweza kumuathiri Membe kwenye NEC na Mkutano Mkuu kama walivyo hao wenzake 3 waliopitishwa nae.

2.Wanamuandalia mazingira ya 2025

3.Wanajaribu kuzuga kuwa hata vijana wana nafasi-amewakiisha kundi la vijana

4.Ni kulipa fadhila za mzee Makamba
 
Zimetolewa kwenye akaunti inayodaiwa ni ya CCM...Ambayo sio verified...

Kwa zama hizi za mtandao lolote laweza kuibuka na kuonekana la kweli..

Kawaida taarifa rasmi hutolewa na Katibu wa NEC - Itikadi na uenezi Nape Nnauye....

Mpaka dakika hii Nape hajatoa taarifa rasmi Nkwingwa...

Nimekuelewa vyema kabisa na hongera kwa umakini wako.
 
1.members:.huyu ni ndugu na kipenzi wa mwenyekiti na familia kwa ujumla, alishaandaliwa toka siku nyingi,ndo maana hata jana rais alipoteua wasaidizi wake ikulu ilikua lazima mtu ufikirie mara mbili mbili na huyu ndiye mgombea atakayepeperusha bendera ya chama.
2.magufuli:huyu nae utendaji wake pekee ndiye uliempatia nafasi hakuna kiingine japo nae ni swahiba wa karibu wawenyekiti.kwake kupenya kwenye vikao vya mbele ni ngumu sana labda busara ya kawaida tu itumike.anaweza kua pm japo kiuhalisia yeye ni bora kuliko wote walioteuliwa.
3.asha rose migiro: Huyu kwanza jinsia ndiyo kigezo pekee japo nae alikwishaandaliwa toka siku nyingi lakini baadae upepo ukahamia kwa mebe. Kwake kupenya mbele inategemeana na kelele za wanawake wenzake mkutano mkuu.
4.mama amina: Huyu jinsia na uzanzibar wake kama mwanamke ndivyo vilivyombeba, kuna uwezekano mkubwa akawa makamu wa rais maana naye kupenyeza kwake mbele ni kelele za wanawake wenzie huko mkutano mkuu.
5.january makamba: Ikumbukwe kwamba huyu bwana baba yake aliwahi kua katibu mkuu wa chama, hiyo pia ni sababu kwahiyo kuna uwezekano kwamba hii ni fadhila na anaandaliwa kwa baadae kumrithi atakaekua rais,sidhani kama janauary makamba anaweza kumkaribia mwigulu nchema kiutendaji wa kazi.anayo nafasi kubwa sana kupenyeza huko mbele maana wanaomuunga mkono ni wengi lakini atawekwa kando kama jk 1995 nasubiri baadae.

Ukweli na uhalisia ndo huo!
safi sana kaka kwa kutupa ukweli usiopingika, nimekuelewa kwa mawazo yako yakinifu, haya ndo mambo tulokuwa tunayasubiri, ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mimi sielewi kwa nini watu wanalipuuzia hilo la tume ya uchaguzi [ambao ndo marefa wa mechi].

Huyi Jaji Lubuva hana tofauti na huyo Jaji Ramadhani. Naye [Lubuva na nadhani na timu yake hususan viongozi wa tume] ni kada wa CCM tu.

Sitegemei kabisa kuwaona wakimtangaza mshindi tofauti na mgombea wa CCM.

Sisi Tanzania bado hatujawa na tume 'huru' ya uchaguzi. Hebu jaribu kuangalia tume za chaguzi za Nigeria na Kenya tu, kwa mfano, halafu unambie zinaitwaje [jina kamili].
Nhamala,
Hata mimi sielewi kwa nini hakuna msukumo mkubwa ili kupatikane tume huru ya uchaguzi.

CCM siyo wajinga eti waweke Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na timu yake ambao siyo makada wa CCM.

Kama unavyosema, tumeyaona kwa Jaji Ramadhan ambaye alikuwa ni kada wa CCM wakati akiwa Jaji nchini.

Mimi nadhani ushindi kwenye serikali za mitaa umewafanya viongozi wakuu wa upinzani kubweteka wakidhani Jaji Rubuva anaweza kumtangaza mpinzani kuwa Rais wa Tanzania au inawezekana wapinzani wameamua kuweka nguvu zote kwenye udiwani na ubunge pekee.
 
Back
Top Bottom