Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,916
- 11,249
Na wale walishajipanga vzuri tu hasa kupitia Ku win kura za kanda ya ziwa maana huyu wamemuona hana skendo na ataibeba CCM. Ukichangia na maandalizi ya goal la mkono.Nyinyiemu sio wajinga eti wakurupuke wamuweke maghufuli, huyu alishaandaliwa, na ametengenezewa kabisa mazingira ya kushinda, nao wanajua watz alishatupumbaza na zile takwimu zake tukamuona mtenda kazi sn, lazima atabaki kwenye mstari tu!
Kweli i feel sorry for my lovely country mana naona hamna jipya sababu system nzima ni mbovu. We need strong institutions zenye kujielewa kwa kuangalia masilahi mapana ya taifa.
Eti Magufuli Ku cremisha barabara na matakwimu ya ujenzi tayari wanamuona anafaaa na ni mtendaji eti mzuri. Wizara yoyote ikipewa budget yake mbona inafanya ka hayo ya Magufuli. In short sitegemei jipya.