Jumatatu wiki hii Tenda tayari ya SGR imeshasainiwa ya kutoka Mwanza!! Kodi zetu ambazo mlizoea kuzipiga ndiyo zitatumika.Toa ufafanuzi wapi Magufuli atapata 10t ndani ya miaka hii mitano ya kumalizia miradi ya SGR na SG, iwapo tume isiyo huru itamtamgaza, maana mpaka sasa deni la taifa limepanda kwa 15t+. Mambo ya nyomi kujadili hapa yanakufanya uonekana juha tu.
Cc: Msemajiukweli, paskali mayalla, kipande