CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Mwenyekiti wa CUF pia ni Mgombea Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Prof. Ibrahim Haruna Lipumba , kesho septemba 20 ataongoza uzinduzi wa kampeni za CUF, visiwani Zanzibar.
CUF: KUNA MAISHA BAADA YA UCHAGUZI
Katika mkutano wa Kampeni uliofanyika Chakechake Pemba, Mwenyekiti wa CUF Wilaya, Abdallah Seif Omari amesema, kuna maisha baada ya Uchaguzi hivyo hawako tayari kufanya fujo kama vyama vingine vinavyowaambia vijana wao, kwa kuwa hawahitaji kuwa na makovu ya risasi mwilini mwao
Aidha, amesema kuwa, wanaosema kama noma na iwe noma basi waziweke familia zao kwenye hayo mapigano na kuzificha nje ya nchi huku wakiwarubuni vijana wengine
Amesema, hiyo ndio tofauti kubwa kati yao na vyama vingine na tofauti zaidi itaonekana kwenya Sanduku la Kura
#ZanzibarNiYetu
#MussaHajjKombeNdoRaisWetu.
CUF: KUNA MAISHA BAADA YA UCHAGUZI
Katika mkutano wa Kampeni uliofanyika Chakechake Pemba, Mwenyekiti wa CUF Wilaya, Abdallah Seif Omari amesema, kuna maisha baada ya Uchaguzi hivyo hawako tayari kufanya fujo kama vyama vingine vinavyowaambia vijana wao, kwa kuwa hawahitaji kuwa na makovu ya risasi mwilini mwao
Aidha, amesema kuwa, wanaosema kama noma na iwe noma basi waziweke familia zao kwenye hayo mapigano na kuzificha nje ya nchi huku wakiwarubuni vijana wengine
Amesema, hiyo ndio tofauti kubwa kati yao na vyama vingine na tofauti zaidi itaonekana kwenya Sanduku la Kura
#ZanzibarNiYetu
#MussaHajjKombeNdoRaisWetu.