mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,738
- 35,155
Nimesoma sentence ya kwanza na nikaishia hapo hapo baada ya kugundua umeandika upuuzi😎mama D, si kawaida yangu kuwajibu watu wapuuzi lakini leo nitavunja mwiko wangu kwako, nitakujibu. Umetoa mfano wa Marekani au siyo? Marekani unaijua ama unasimuliwa tu...yaani kitendo kama kile cha Mh. Lissu kimtokee mwakilishi wa wananchi tena Mbunge (kwa Marekani wanaitwa members of Congress, muunganiko wa House na Senate) halafu maisha yaendelee kama vile hakuna kilichotokea! Kama maana yako ni hiyo nadhani wewe ni mpuuzi kuliko wapuuzi wote humu JF.
Ingekuwaa Marekani mitaa yote isingekalika hadi mhusika apatikane. Nakuapia ingekuwa Marekani haingechukua saa 24 wahusika wote wangekuwa wameshakamatwa. Natamani nikupe shule lakini kwa kuwa umethubutu kuifananisha Marekani na Tanzania, nadhani ni kazi bure hata kujaribu kukuelimisha. Congressman amiminiwe risasi kama ilivyotokea kwa Lissu tena kwenye makazi ya viongozi halafu miaka mitatu inapita...oh what's the use...than argue with your likes, I'd rather argue with a dining table, goodbye!
Watu kama wewe kambi yaenu ni CCM, hifadhi ya wajinga na wapuuzi.