Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake. Tumaini Swila amaliza ushahidi. Mawikili wa Serikali wafunga Ushahidi. Jaji kutoa uamuzi 18/02/2022

Msichukulie mambo rahisi rahisi tu kisa tu eti mashahidi kumi na tatu kati ya ishirini na nne wametoa ushahidi.

Kwa jinsi watumiwa wenzake na Mbowe walivyokamatwa, jinsi Urio alivyotiririka kuwa Mbowe alianza kumpanga kwa muda mrefu ili atafute makomandoo wa kuja kuleta dhahama nchini ni wazi kuwa kuna kesi ya kujibu.

Tujipange kwa defence tu ili kupangua hoja. Tuache ushabiki wa mitandaoni usio na tija.
Ndowo alijibu nini? Goodluck alijibu nini? Na huyu Swila alijibu nini? Hiyo kesi ya kujibu labda anayo SSH.
 
Habari Wakuu,

Leo 15/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3 baada ya Ushahidi wake kutokamilika jana

Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake. Tumaini Swila amaliza ushahidi. Mawikili wa Serikali wafunga Ushahidi. Jaji kutoa uamuzi 18/02/2022​


Siku mbili usiku na mchana au work hours!!!? naona kama masihara
 
Wakubwa wako wakikulisha maneno laizma upainik kwa sababu sio maneno yako yale ni ya waliokutuma.hivyo shahidi kupanick ilikuwa jambo la muhimu sana.
 
Back
Top Bottom