Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,068
Sasa kama uamuzi tayari ni huoo, kwanini asiseme Moja Kwa Moja kwamba watuhumiwa wataanza kujitetea?Kesi iende hatua ya inayofuata ambayo ni watuhumiwa waanze kujitetea
Sasa kama uamuzi tayari ni huoo, kwanini asiseme Moja Kwa Moja kwamba watuhumiwa wataanza kujitetea?Kesi iende hatua ya inayofuata ambayo ni watuhumiwa waanze kujitetea
Ndowo alijibu nini? Goodluck alijibu nini? Na huyu Swila alijibu nini? Hiyo kesi ya kujibu labda anayo SSH.Msichukulie mambo rahisi rahisi tu kisa tu eti mashahidi kumi na tatu kati ya ishirini na nne wametoa ushahidi.
Kwa jinsi watumiwa wenzake na Mbowe walivyokamatwa, jinsi Urio alivyotiririka kuwa Mbowe alianza kumpanga kwa muda mrefu ili atafute makomandoo wa kuja kuleta dhahama nchini ni wazi kuwa kuna kesi ya kujibu.
Tujipange kwa defence tu ili kupangua hoja. Tuache ushabiki wa mitandaoni usio na tija.
Habari Wakuu,
Leo 15/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3 baada ya Ushahidi wake kutokamilika jana
Sawa Mr Comte 🤝FACT siyo miliki ya mtu