ukiona hivyo mbowe anahemewaleo naona updates ya kesi hapa jamvini ni bila bila, kulikoni.
you wish.ukiona hivyo mbowe anahemewa
ukiona hivyo mbowe anahemewa
zigo hili - duhMashahidi wa mchongo😁😁😁
View attachment 2020960
Hawez kukujibu kwa sababu anajuwa ukweli utamuumbuaMkuu,
shaka na Uzito wa ushahidi wa kesi ya X DC,
unafanana na shaka na uzito wa ushahidi unaotolewa kwenye kesi ya Mh.Mbowe.?
Kinyume chake ni kweli na unalijuwa hiloMaana yake Mawakili wa Chadema ni ovyo na ni watupu sana kisheria
Mimi Leo sipati TWITER kwenye Simu wala Computer tangu saa4 Asubuhi. Kulikoni? Sina VPN.Mashahidi wa mchongo😁😁😁
View attachment 2020960
Ukiwa na akili mfu hakika yote kwako yanakuwa mafu,ndo maana umeweza ona hoja za chadema ni mfu.Ndugu unahitaji kuhuisha akili zako ndipo uweze ona hoja zenye uhaiHizi hoja mfu ndizo zinafanya Chadema wanashindwa kwa kila kesi. Mahakama siyo jukwaa la siasa. Acheni kuwahadaa watu na hoja mfu kama hizi kwenye masuala ya kisheria.
Every timeWe love you Mbowe
Mimi naipata bila VPN,labda una tatizo lingine.Mimi Leo sipati TWITER kwenye Simu wala Computer tangu saa4 Asubuhi. Kulikoni? Sina VPN.
Jitahidi kujipendekeza yawezekana ukapata hata kanafasi ka kufunga viatu vya wakubwa.Ila kwa kichwa hicho ukipewa kacheo hata ka ujumbe wa nyumba kumi yatakupata ya sabayaSiyo kwenu nyie wanywa viroba. Hicho chama chenu ni chama cha wachaga. Je kuna mchaga jasili Tanzania hii. Mmeshindwa hata kuwatimizia wake zenu unyumba leo hii mpate ujasili wa kuitikisa serikali!!
Mara ngapi mnatishia kuandama wanamme wanatoka na ufagio kufagia mitaa mnanywea? Hao wapiga kelele wenu wako huko kwa mabwana zao ulaya. Waje huku uwanja wa mapambano tutambue ujasli wao.
Ndugu yanguUhalali (legacy) wa Serikali ni pale inapokuwepo au kutokana na watu na ipo kwa ajili ya watu
Mkuu wa nchi kupitia chombo cha cha habari maarufu duniani anapo condemn kwa mtuhumiwa ni gaidi/ ana makosa na pia Mkuu wa jeshi la polisi anapothibitisha mbele ya chombo cha habari (Dakika 45 za ITV), huko hakukuwa kuingilia uhuru wa mahakama??
Kama mahakama zetu zingekuwa huru, tungeweza kuamini kwamba Jaji atakuwa huru kutoa hukumu. Lakini kwa mahakama zetu na majaji wetu wanaotegemea kupata vyeo kwa kulamba viatu vya watawala, kamwe haki haiwezi kupatikana au kuonekana ikipatikana.
Ndugu,Siyo kwenu nyie wanywa viroba. Hicho chama chenu ni chama cha wachaga. Je kuna mchaga jasili Tanzania hii. Mmeshindwa hata kuwatimizia wake zenu unyumba leo hii mpate ujasili wa kuitikisa serikali!!
Mara ngapi mnatishia kuandama wanamme wanatoka na ufagio kufagia mitaa mnanywea? Hao wapiga kelele wenu wako huko kwa mabwana zao ulaya. Waje huku uwanja wa mapambano tutambue ujasli wao.
Sasa nimeanza kupata Twitter. AsanteMimi naipata bila VPN,labda una tatizo lingine.
Mtaishia hivyo hivyo. Cheche moja cheche moja matendo 0+. Hao organizer wenu watawalimot toka huko waliko au nao watakuja kuungana nanyi!!Wewe ubongo wako ni duni. Mara nyingi kweli serikali imetishia na wakanyamaza, Kama ilivyokuwa Sudan, lakini fukuto la watu likirundikana, cheche ndogo tu inawasha moto. Dhulma inayofanyika Kama wewe unanufaika nayo, Kuna siku hutanufaika nayo.
Na kadiri kwa nyimbo na mapambio, wanavyo zidi kumshinikiza hakimu afuate wanavyoona wao, ndivyo wanavyozidi kumuangamiza Mbowe sababu hakuna hakimu atakayefanya uamuzi kwa shinikizo la kundi fulani lenye kutaka maslahi yake yalindwe.kabisa mkuu tena ni 100%......
Shida wa Tanzania wengi wetu, Maswala ya sheria hatujui kitu.
Siyo kwenu nyie wanywa viroba. Hicho chama chenu ni chama cha wachaga. Je kuna mchaga jasili Tanzania hii. Mmeshindwa hata kuwatimizia wake zenu unyumba leo hii mpate ujasili wa kuitikisa serikali!!
Mara ngapi mnatishia kuandama wanamme wanatoka na ufagio kufagia mitaa mnanywea? Hao wapiga kelele wenu wako huko kwa mabwana zao ulaya. Waje huku uwanja wa mapambano tutambue ujasli wao.