alm
Member
- Oct 16, 2013
- 88
- 108
Nenda mahakamani mwenyewe usikilize kesi acha kulalamika kama mjingaShida inapokuja kulipoti habari za mahakama, sipidi ni mwendo wa konokono, au M.m hayupo?
Nenda mahakamani mwenyewe usikilize kesi acha kulalamika kama mjingaShida inapokuja kulipoti habari za mahakama, sipidi ni mwendo wa konokono, au M.m hayupo?
Ni kweli Comte kaeleza in favour of his/her opinion.Hapana Alicho eleza ni tofauti na doctorine yenyewe, yeye amealeza views zake/ personal interpretation, mtizamo wake sio falisafa yenyewe..........
Iboya hawezi kuwa Mnyika au Lema. Iboya ni Boya siku nyingi hata kabla ya hii kesi bambikizi.Siasi zilivyo za ajabu unawezakuta hawa ni Watu wa karibu sana na Mbowe au ukute ni MDEE na MNYIKA. Ukiangalia jinsi Iboya anavyochangia mijadala muda wote inawezekana akawa ni LEMA anam SNITCH jamaa
Tatizo lenu nyie Warombo mnaamini siasa ni uadui!Unasema kweli! Yaani wewe humo kwenye hizo baraka? Ndiyo maana unaonekana mara kwa mara kama umechanganyikiwa; usijue ushike lipi uache lipi!
Wanajitahidi sana sio kazi nyepesi hiyo MzeeShida inapokuja kulipoti habari za mahakama, sipidi ni mwendo wa konokono, au M.m hayupo?
Angemaliza kuandika wiki ijayo kuandika maswali ya kina mtobesya kwa usahihi huu hawa jamaa wapo vizuri mno nawapa big up...Ndio na huyo anayekosoa ingekuwa yeye siajabu angemaliza kazi hii hatakesho kabsa, kusoma si sawa na kusiliza uandike
Watu mnaoshadadia ukabila ni watu wa hovyo sana.Tatizo lenu nyie Warombo mnaamini siasa ni uadui!
Kuwa CCM haimaanishi nipinge hata mazuri ya Chadema.
Nyie ndio aliwasema Katambi kuwa ni chombo cha kubebea Zege.
We mrombo bure kabisa!
Mrombo ni mrombo tu!Watu mnaoshadadia ukabila ni watu wa hovyo sana.
kimekuuma?Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.
Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana.
Jaji wa kwanza walimchafua na kumkataa.
Jaji wa pili alijitoa kwa sababu ya majukumu lkn walimchafua na kumkejeli.
Sasa Jaji huyu watatu naye wameanza kumchafua na kumkejeli.
Wanacho kifanya mawakili na wafuasi w mboe ni kutaka kuivuruga mahakama au kuishinikiza ifanye maamuzi kama wanavyo taka wao na sio vinginevyo.
Mahakama haipaswi kuingia ktk mtego huo wanao ufanya hao watuhumiwa na wafuasi wao.
Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.
Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana.
Jaji wa kwanza walimchafua na kumkataa.
Jaji wa pili alijitoa kwa sababu ya majukumu lkn walimchafua na kumkejeli.
Sasa Jaji huyu watatu naye wameanza kumchafua na kumkejeli.
Wanacho kifanya mawakili na wafuasi w mboe ni kutaka kuivuruga mahakama au kuishinikiza ifanye maamuzi kama wanavyo taka wao na sio vinginevyo.
Mahakama haipaswi kuingia ktk mtego huo wanao ufanya hao watuhumiwa na wafuasi wao.
Tanzania ingekuwa na makabila machache mngetupeleka kubaya, Propaganda zenu za ukabila watu wanazipuuza tu.Mrombo ni mrombo tu!
Mkuu kwa umaridsdi wa kibatala katika kupiga misumari ya kisheria kinyume na maoni kama wengine walivyozoea Jaji aliomba muda akatoka sijui alienda kupiga simu haikupokelewa gafla akarudi ooh maamuzi kesho hayawezekani!!! Mpaka j3.Kibatala is very clever...
Yaani kwa kauli hii hapa, anawatia pingu za "kutofuata taratibu za kisheria" wote, UPANDE WA MASHTAKA na MAHAKAMA KWA UJUMLA indirectly...!
Kwa lugha rahisi ni kuwa, anawaambia, "NYINYI NI WEZI WA NYARAKA ZA MAHAKAMA" ili kuzitumia kinyume cha sheria....!!!
Mimi nadhani hizo 10 minutes alikwenda kupiga simu kibaya haikupokelewa ndo maana akasema......Jaji: nimesikia Hoja zenu wote., ni kwamba najaribu kutafakari kabla sijaamua kupanga maamuzi yawe lini na saa ngapi.. ningeomba dakika 10 nifanye tathimini kisha nitarejea kusema uamuzi ni lini..
Jaji huyoo anatoka!
Huyu atakua Jaji kivuli, Kuna sehemu yapotoka maamuzi ya hii kesi
If you're fool, you don't know that you're fool, it's the same as when you die, you don't know that you're dead only people know that you're dead. So I can only say sorry to you.Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.
Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana.
Jaji wa kwanza walimchafua na kumkataa.
Jaji wa pili alijitoa kwa sababu ya majukumu lkn walimchafua na kumkejeli.
Sasa Jaji huyu watatu naye wameanza kumchafua na kumkejeli.
Wanacho kifanya mawakili na wafuasi w mboe ni kutaka kuivuruga mahakama au kuishinikiza ifanye maamuzi kama wanavyo taka wao na sio vinginevyo.
Mahakama haipaswi kuingia ktk mtego huo wanao ufanya hao watuhumiwa na wafuasi wao.
Aaa wapi, Iboya ni Polepole!Siasi zilivyo za ajabu unawezakuta hawa ni Watu wa karibu sana na Mbowe au ukute ni MDEE na MNYIKA. Ukiangalia jinsi Iboya anavyochangia mijadala muda wote inawezekana akawa ni LEMA anam SNITCH jamaa
Alienda kuvuta fegi!Mkuu kwa umaridsdi wa kibatala katika kupiga misumari ya kisheria kinyume na maoni kama wengine walivyozoea Jaji aliomba muda akatoka sijui alienda kupiga simu haikupokelewa gafla akarudi ooh maamuzi kesho hayawezekani!!! Mpaka j3.
uko kijiwe gani Cha gahawa. Umevimbiwa bila shaka.Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.
Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana.
Jaji wa kwanza walimchafua na kumkataa.
Jaji wa pili alijitoa kwa sababu ya majukumu lkn walimchafua na kumkejeli.
Sasa Jaji huyu watatu naye wameanza kumchafua na kumkejeli.
Wanacho kifanya mawakili na wafuasi w mboe ni kutaka kuivuruga mahakama au kuishinikiza ifanye maamuzi kama wanavyo taka wao na sio vinginevyo.
Mahakama haipaswi kuingia ktk mtego huo wanao ufanya hao watuhumiwa na wafuasi wao.