Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 18, 2021. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 22, 2021

Siasi zilivyo za ajabu unawezakuta hawa ni Watu wa karibu sana na Mbowe au ukute ni MDEE na MNYIKA. Ukiangalia jinsi Iboya anavyochangia mijadala muda wote inawezekana akawa ni LEMA anam SNITCH jamaa
Iboya hawezi kuwa Mnyika au Lema. Iboya ni Boya siku nyingi hata kabla ya hii kesi bambikizi.
 
Unasema kweli! Yaani wewe humo kwenye hizo baraka? Ndiyo maana unaonekana mara kwa mara kama umechanganyikiwa; usijue ushike lipi uache lipi!
Tatizo lenu nyie Warombo mnaamini siasa ni uadui!

Kuwa CCM haimaanishi nipinge hata mazuri ya Chadema.

Nyie ndio aliwasema Katambi kuwa ni chombo cha kubebea Zege.

We mrombo bure kabisa!
 
Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.

Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana.

Jaji wa kwanza walimchafua na kumkataa.

Jaji wa pili alijitoa kwa sababu ya majukumu lkn walimchafua na kumkejeli.

Sasa Jaji huyu watatu naye wameanza kumchafua na kumkejeli.

Wanacho kifanya mawakili na wafuasi w mboe ni kutaka kuivuruga mahakama au kuishinikiza ifanye maamuzi kama wanavyo taka wao na sio vinginevyo.

Mahakama haipaswi kuingia ktk mtego huo wanao ufanya hao watuhumiwa na wafuasi wao.
kimekuuma?
Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.

Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana.

Jaji wa kwanza walimchafua na kumkataa.

Jaji wa pili alijitoa kwa sababu ya majukumu lkn walimchafua na kumkejeli.

Sasa Jaji huyu watatu naye wameanza kumchafua na kumkejeli.

Wanacho kifanya mawakili na wafuasi w mboe ni kutaka kuivuruga mahakama au kuishinikiza ifanye maamuzi kama wanavyo taka wao na sio vinginevyo.

Mahakama haipaswi kuingia ktk mtego huo wanao ufanya hao watuhumiwa na wafuasi wao.
 
Kibatala is very clever...

Yaani kwa kauli hii hapa, anawatia pingu za "kutofuata taratibu za kisheria" wote, UPANDE WA MASHTAKA na MAHAKAMA KWA UJUMLA indirectly...!

Kwa lugha rahisi ni kuwa, anawaambia, "NYINYI NI WEZI WA NYARAKA ZA MAHAKAMA" ili kuzitumia kinyume cha sheria....!!!
Mkuu kwa umaridsdi wa kibatala katika kupiga misumari ya kisheria kinyume na maoni kama wengine walivyozoea Jaji aliomba muda akatoka sijui alienda kupiga simu haikupokelewa gafla akarudi ooh maamuzi kesho hayawezekani!!! Mpaka j3.
 
Jaji: nimesikia Hoja zenu wote., ni kwamba najaribu kutafakari kabla sijaamua kupanga maamuzi yawe lini na saa ngapi.. ningeomba dakika 10 nifanye tathimini kisha nitarejea kusema uamuzi ni lini..

Jaji huyoo anatoka!


Huyu atakua Jaji kivuli, Kuna sehemu yapotoka maamuzi ya hii kesi
Mimi nadhani hizo 10 minutes alikwenda kupiga simu kibaya haikupokelewa ndo maana akasema......
 
Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.

Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana.

Jaji wa kwanza walimchafua na kumkataa.

Jaji wa pili alijitoa kwa sababu ya majukumu lkn walimchafua na kumkejeli.

Sasa Jaji huyu watatu naye wameanza kumchafua na kumkejeli.

Wanacho kifanya mawakili na wafuasi w mboe ni kutaka kuivuruga mahakama au kuishinikiza ifanye maamuzi kama wanavyo taka wao na sio vinginevyo.

Mahakama haipaswi kuingia ktk mtego huo wanao ufanya hao watuhumiwa na wafuasi wao.
If you're fool, you don't know that you're fool, it's the same as when you die, you don't know that you're dead only people know that you're dead. So I can only say sorry to you.
 
TANZANIA NCHI ILIYOJAA UONEZI IPO SIKU NA SIKU HIYO ANAIJUA MUNGU WATU WATATAMANI ARIDHI IPASUKE WAINGIE LKN ITASHINDIKANA.HAKI HUINUA TAIFA NA INABAKI HIVYO.
 
Mkuu kwa umaridsdi wa kibatala katika kupiga misumari ya kisheria kinyume na maoni kama wengine walivyozoea Jaji aliomba muda akatoka sijui alienda kupiga simu haikupokelewa gafla akarudi ooh maamuzi kesho hayawezekani!!! Mpaka j3.
Alienda kuvuta fegi!
 
Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.

Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana.

Jaji wa kwanza walimchafua na kumkataa.

Jaji wa pili alijitoa kwa sababu ya majukumu lkn walimchafua na kumkejeli.

Sasa Jaji huyu watatu naye wameanza kumchafua na kumkejeli.

Wanacho kifanya mawakili na wafuasi w mboe ni kutaka kuivuruga mahakama au kuishinikiza ifanye maamuzi kama wanavyo taka wao na sio vinginevyo.

Mahakama haipaswi kuingia ktk mtego huo wanao ufanya hao watuhumiwa na wafuasi wao.
uko kijiwe gani Cha gahawa. Umevimbiwa bila shaka.
 
Back
Top Bottom