Hapo mwisho ndiyo umeongea mkuu ngoma bado mbichi sana tuwaache kina erythrosty wademke lakini haijulikani nani mwisho atakuwa mshindi mengine kunogeza baraza tu hakuna mtu anapenda mwenzie aharibikiwe kwa ustaarabu wa kitanzania au kiafrica ndiyo maana mtu akifa hata kama alikuwa jambazi sijawahi kusikia anakashifiwamahakama haifanyi kazi namna hiyo dogo, inahitaji ushahidi wa kujiridhisha pasi na shaka na ndiyo maana Shahidi wenu wanaingia na madesa kufanya uhalali wa kumfunga mbowe.., ngoma bado mbichi.