leonaldo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 2,585
- 3,179
Sioni umahili wake Ni mmoja wamashahidi walio haribu Sana mtililiko wa upande wa watesi maana sasa amewaongezea mzigo wa kutiliwa Shaka ushahidi wao.Huyu shahidi wa leo alipokuwa anafanyiwa examination na upande wa utetezi alikuwa anaonesha kajeuri fulani ka - kipolisi...
Ikashangaza kidogo kwani hata alipofanyiwa re examination na mawakili wake, nako akawaonesha jeuri ya kipolisi...
Mfano aliulizwa:
KIBATATALA: Unajua kuwa wewe ukiwa mkuu wa kituo cha Polisi, kila unapoondoka kituoni unatakiwa kuteua mtu kushika nafasi kwa muda wote ambao haupo kituoni?
SHAHIDI: Mimi sijui hilo, na hill so lazima sana. Ninachojua mimi nimekuja hapa kutoa ushahidi wangu na baadae narudi zangu kazini kuendelea na majukumu yangu...!!
Huyu shahidi wa leo alikuwa kiboko aisee...
Mhimu Ni kuwa anapaswa kufanya kazi kwa mujibu wa Sheria na sio kwa mujibu wa matakwa yake.