mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Kumbe mnalive yenu huku?
Huko kwingine dunia imesimama inapiga makofi kwa Lissu
Huko kwingine dunia imesimama inapiga makofi kwa Lissu
Wamesema kusini Lindi, Mtwara, Ruvuma fiesta haliendi si ubaguzi huu, CCM imekatiliwa kusini haiuziki. Awachelewi kusingizia magaidi wa Mtwara maana kwa sababu awajambo hawaList ya wasanii niaje? Mbona hujaitaja mkuu?
.....Mwakani sijui Clouds Media wata andaa Fiesta make wananchi wamekata kiu yao sana mwaka huu kuhusu shows za wasanii tena wale maarufu na vipenzi vya watu...
Ipi? Iaje tukunyooshe!Acha uongo.
Mimi ni mwalimu katika shule moja maeneo hayo.
Unachoongea si kweli.
Wewe muongo.Ipi? Iaje tukunyooshe!
Wanafunzi wanajazwa barabarani badala ya kwenda darasaniWewe muongo.
Acha propaganda.
Wewe ndio useme shule iliyofungwa unyooshwe na uongo wako.
Shule zote zimefungwa unabisha nini wewe na wanafunzi wameambiwa wakajaze uwanja mwanakaleñge.Wewe mpumbavu acha porojo niambie ni shule gani iliyofungwa bagamoyo! Acha propaganda za majitaka!
Mbona hata CHADEMA wasanii wapo?? Mfano akina Sugu, Profesa J. Sema tuu wasanii wenu wameshapitwa na wakatii.List ya wasanii niaje? Mbona hujaitaja mkuu?
Mwakani sijui Clouds Media wataandaa Fiesta make wananchi wamekata kiu yao sana mwaka huu kuhusu shows za wasanii tena wale maarufu na vipenzi vya watu...
Wewe muongo.
Acha propaganda.
Wewe ndio useme shule iliyofungwa unyooshwe na uongo wako.
Tza sio sehemu ya kujifunzia kuongoza,vipindi viwili sio kanuni.Ameboronga 5 yrs ndo ataweza 5 yrs againUpo sahihi mkuu,nadhani licha ya mapungufu yake bado anastahili kumalizia kipindi kilichobaki
Wanaoisapoti awamu hii huwa nawaona ni mapunguani kunufaika kwa wachache hakumaanishi ni kunufaika kwa watz woteKuna watu wengine jamani wanatuona sisi watanzania mbumbumbu kweli! Mtu atapandaje kwenye jukwaa na kusema kuwa katika miaka mitano ya Magufuli kumekuwepo mafanikio mahali halafu anaanza kutaja mafanikio ambayo hayakukamilika? Ametaja hospitali ambayo haijamalizwa na barabara ambazo hazijaanza kujengwa kuwa ni mafanikio, sasa hayo jamani ni mafanikio gani? Kama imechukua miaka mitano kuwa na hayo yanayoitwa maendeleo aliyoyaweza kuyafanya kwa wanachalinze na kuitwa mafanikio, mnadhani miaka mitano mengine Kitafanywa nini?
Kwani wanalazimishwa kwenye hayo mafuso?Napita njia ya Kabuku naona mafuso yanashusha watu kutoka vijijini kuja kushangilia jiwe akipita.
Hakuna sifa yeyote kwa ombaomba.Watu wanaenda mikutano ya CCM kufaidi; usafiri wa bure, vitenge bure, T-shirts bure, kofia bure, sijui kuna na mshiko? Ila watu wanaenda mikutano ya CHADEMA kwa kujitegmea, T-shirts, vitenge, kofia, etc., wamenunua kwa pesa zao, na wakifika huko na michango wanatoa! Mwenye akili atanielewa!
Si useme shule iliyofungwa.Hivi uko serious unabisha kabisa au unachangamsha genge tu?
Ninachokijua tu ni kwamba tayari Ndugu Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ni 'Rais' wa 2020 - 2025 na sasa ajiandae tu Kutupangia 'Cabinet' yake.