#COVID19 Yaliyojiri JamiiForums Clubhouse kwenye Mjadala wa UVIKO-19, Umechanja au haujachanja? Nini mtazamo wako?

Hakuna chanjo ambayo ukichanjwa haupati tena hiyo homa?

Elewa hili:
Chanjo si kinga ya kuzuia kuambukizwa ugonjwa bali ni maandalizi ya mwili kupambana na ugonjwa utakapofika kwenye mwili bila kuleta madhara makubwa.

Na chanjo si dhidi ya homa bali ugonjwa husika na madhara yake. Si kila ugonjwa lazima upate homa kama dalili kuu.
 
Binafsi sijachanja na Sina hakika Kama nitachanja.Ahsante
Jipende uwapende na wengine.Ndugu Kinga ni bora kuliko tiba, hiyo ni kwa mujibu wa wahenga lakini.Mimi nimechanja tarehe 24/8/2021,sijapata tatizo lolote.
 
Nafikiri tatizo kwa nchi nyingi ni budget. Unafikiria kuwekeza fedha nyingi ambazo pengine utaweza zirudisha kwa kuuza hizo chanjo lakini sasa utamuuzia nani? Unapima gharama unaona za kuagiza ni cheap zaidi kuliko kutengeneza mwenyewe.

Ndiyo maana unaona hata mataifa tajiri kuliko Tanzania ( Japan, Brazil, Misri, Algeria, Korea ,Qatar nk) wanaendelea kuagiza.
Umenielewesha vema sana mkuu🤝
 
Katika jambo nimejifunza ni kuwa, ukiona kuna jambo CCM wanaliunga mkono kwa nguvu basi hilo jambo litakuja kuwa na madhara makubwa sana mbeleni huko.

So kuhusu hii chanjo mtakuja niambia one day huko mbeleni. Hawa nguruwe hawajali hatima ya raia ati.
 
Katika jambo nimejifunza ni kuwa, ukiona kuna jambo CCM wanaliunga mkono kwa nguvu basi hilo jambo litakuja kuwa na madhara makubwa sana mbeleni huko.

So kuhusu hii chanjo mtakuja niambia one day huko mbeleni. Hawa nguruwe hawajali hatima ya raia ati.
Ccm wanapatia na kukosea. Usiwe negative daima. Sisemi kuwa kuhusu chanjo wamepatia japo ninawaunga mkono, lakini pamoja na kukosea mambo mengi wamefanya pia mambo mazuri mengi tu.
Usiwe negative always.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom