Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 13,654
- 19,751
Kikosi chake kimekamilika, baada ya TIIS, JWTZ, PCCB, na wengine sasa amemalizzia na CAG.Nani wa kumpeleka huko mwenyekiti wa SADC, angalia anavyopanga team yake, kuanzia bungeni, mahakamani na serikalini.
Usije ukashangaa sasa ATCL ikakaguliwa an report ya manunuzi ya ndege kwa cash ikatolewa.
Stone is building fortress wall around him.