state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,511
Rais Magufuli ampa maagizo haya CAG mpya.
''Ukipewa maagizo kutoka kwenye mihimili fanya''
''Wewe ni mtumishi kama wengine''
''Pale ofisi za CAG ni pachafu sana, kapasafishe''
''Una elimu nzuri una Division one O Level na A Level, wewe sio kilaza ni kipanga''
''Una nidhamu sana nilivyokushusha ulikubali kwa moyo mweupe''
''Nakuonya, unaweza ukakaa hata mwaka mmoja na sio lazima ukae hadi 60 yrs''
''Nina mamlaka ya kuteua na kutengua, mimi ndiyo Rais''
''Assad leo saa sita usiku anamaliza muda wake, kesho nenda ofisini''
''Kaisafishe ile ofisi, Wizara ya Fedha itakupa taarifa zingine''
State agent
''Ukipewa maagizo kutoka kwenye mihimili fanya''
''Wewe ni mtumishi kama wengine''
''Pale ofisi za CAG ni pachafu sana, kapasafishe''
''Una elimu nzuri una Division one O Level na A Level, wewe sio kilaza ni kipanga''
''Una nidhamu sana nilivyokushusha ulikubali kwa moyo mweupe''
''Nakuonya, unaweza ukakaa hata mwaka mmoja na sio lazima ukae hadi 60 yrs''
''Nina mamlaka ya kuteua na kutengua, mimi ndiyo Rais''
''Assad leo saa sita usiku anamaliza muda wake, kesho nenda ofisini''
''Kaisafishe ile ofisi, Wizara ya Fedha itakupa taarifa zingine''
State agent