Pesa tr 1. 5 ilipigwa hilo halina ubishiAsadi alisha kanusha kuwa kuna tr 1.5 zimeibwa na kusema kuwa kila kitu ktk awamu hii kikopoa
State agent
Pesa tr 1. 5 ilipigwa hilo halina ubishiAsadi alisha kanusha kuwa kuna tr 1.5 zimeibwa na kusema kuwa kila kitu ktk awamu hii kikopoa
State agent
Toa uthibitisho acha siasaAsadi alisha kanusha kuwa kuna tr 1.5 zimeibwa na kusema kuwa kila kitu ktk awamu hii kikopoa
State agent
Jamaa hapindishi. Mungu mbariki sana Prof. Assad.
Asadi alisha kanusha kuwa kuna tr 1.5 zimeibwa na kusema kuwa kila kitu ktk awamu hii kikopoa
State agent
Safi sana.Spika wa bunge mh Job Ndugai amempongeza CAG mpya Charles Kichere kwa uteuzi alioupata na kumuahidi ushirikiano uliotukuka.
Ndugai amesema watamtegemea sana Kichere katika kupata ukweli wa namna serikali inavyotumia kwa mujibu wa sheria fedha zilizopitishwa bungeni.
Maendeleo hayana vyama!
Mambo yote Chapchap,Bado Assad anajiuliza ni vipengele gani vimetumika?Basi agome kuachia ofisi basi.
thubutuAnaruhusiwa kukagua BOMBADIA?
Nasikia wateule wengi ni ujamalizition from tanroads