Shujaa wa dunia,viongozi wa nchi jirani ndo waliokuja.Sijaelewa.Ina maana nchi za jirani ndiyo dunia au vipi.Mradi wa Magufuli wa Stiegler's Gorge utazalisha MGW 2115 za umeme wa kutosha Nchi nzimà na ziada kuwauzia Nchi jirani ndo maana katika kumuaga Shujaa wa dunia, ni viongozi wa nchi jirani tu ndo wamekuja. Msife mtoto mafanikio ya Marehemu ndo hayo!