Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,106
- 35,036
Wewe sema tu wanalinda maiti ya Magufuli.Mkuu hao usione wamesimama tu
Wanaangalia mengi sana hapo
Wanaweza kuona mambo mengi kwa kutazama uso wako tu
By the way wanalipa hera ndefu sana san sana
Acha wasimame tu
Hakuna kitu kipya.
Mshahara na posho zao ni zile zile, wasimame sana au wasimame kidogo.