Mkutano wa 9 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeanza leo. Miswada 4 ya sheria mbalimbali kujadiliwa.
Kati ya muswada hiyo itakayojadiliwa ni pamoja na Mswada wa Marekebisho ya Sheria ya Kudhibiti na Kupambana na [HASHTAG]#DawaZaKulevya[/HASHTAG] mwaka 2017.
Bunge pia litajadili na kupitisha mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo unaotarajia kutekelezwa kwa mwaka 2017/2018.
Kufahamu kwa undani yatakayojiri leo, bofya hapa
-----------
Nipo hapa kuwapatia updates ya kinachojiri..
BUNGE LA 11, MKUTANO WA TISA, KIKAO CHA KWANZA
Mh spika anamkaribisha katibu mpya wa Bunge mh Stephen Kagaigai
Mh spika anamshukuru Katiba aliyepita wa Bunge Dr Tomas Kashillila.
Mh spika anawakaribisha wabunge Dodoma na kusema kwamba Dodoma ni salama
Kati ya muswada hiyo itakayojadiliwa ni pamoja na Mswada wa Marekebisho ya Sheria ya Kudhibiti na Kupambana na [HASHTAG]#DawaZaKulevya[/HASHTAG] mwaka 2017.
Bunge pia litajadili na kupitisha mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo unaotarajia kutekelezwa kwa mwaka 2017/2018.
Kufahamu kwa undani yatakayojiri leo, bofya hapa
-----------
Nipo hapa kuwapatia updates ya kinachojiri..
BUNGE LA 11, MKUTANO WA TISA, KIKAO CHA KWANZA
Mh spika anamkaribisha katibu mpya wa Bunge mh Stephen Kagaigai
Mh spika anamshukuru Katiba aliyepita wa Bunge Dr Tomas Kashillila.
Mh spika anawakaribisha wabunge Dodoma na kusema kwamba Dodoma ni salama
MASWALI NA MAJIBU