Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,442
- 113,451
Wanabodi,
Kama kawaida wananchi kama mimi, tupatapo nafasi huwa tunajituma mpaka mjengoni ili kuisikia live kwa naked eyes baadhi ya mijadala muhimu. Ndivyo ilivyokuwa kwa jioni ya leo, nimejihimu ili nisikie mjadala wa taarifa mbili za serikali ikirindima.
Saa 11:00 akaingia Naibu Spika, Mheshimiwa Sana, Mama Anna Makinda.
Aliposimama na kunza kuongea, kwanza nilinote, anaongea akiwa na pressure, huku anajitahidi sana kubana pumzi, kama vile anataka kutangaza taarifa muhimu, ningekuwa siko mjengoni, ningeweza kudhani labda kuna taarifa ya msiba!.
Kumbe, alikuwa anatangaza Kikao cha Bunge Cha Jioni Hii, kilichokuwa kijadili utendaji usioridhisha wa TICTS na RITES, kimeahirishwa ghafla kufuatia taarifa hizo zote mbili kutokuwa tayari!.
Hivi jamani, hii ni serikali inalichezea bunge na kulifanyia mzaha, au ni Bunge lenyewe haliko serious enough hivyo serikali kulifanya bunge ni shamba la bibi!?.
Kama kawaida wananchi kama mimi, tupatapo nafasi huwa tunajituma mpaka mjengoni ili kuisikia live kwa naked eyes baadhi ya mijadala muhimu. Ndivyo ilivyokuwa kwa jioni ya leo, nimejihimu ili nisikie mjadala wa taarifa mbili za serikali ikirindima.
Saa 11:00 akaingia Naibu Spika, Mheshimiwa Sana, Mama Anna Makinda.
Aliposimama na kunza kuongea, kwanza nilinote, anaongea akiwa na pressure, huku anajitahidi sana kubana pumzi, kama vile anataka kutangaza taarifa muhimu, ningekuwa siko mjengoni, ningeweza kudhani labda kuna taarifa ya msiba!.
Kumbe, alikuwa anatangaza Kikao cha Bunge Cha Jioni Hii, kilichokuwa kijadili utendaji usioridhisha wa TICTS na RITES, kimeahirishwa ghafla kufuatia taarifa hizo zote mbili kutokuwa tayari!.
Hivi jamani, hii ni serikali inalichezea bunge na kulifanyia mzaha, au ni Bunge lenyewe haliko serious enough hivyo serikali kulifanya bunge ni shamba la bibi!?.