Yaliyojiri Bungeni Dodoma 20 Nov, 2015: Hotuba ya Rais wa JMT kuzindua Bunge la 11

Wabunge wa ukawa tambueni kwamba mmepewa kura na wananchi wenu ili muende bungeni kutatua matatizo yenu na shida zao mbali mbali.Kwa kitendo cha boycott mlichokifanya Leo imeonesha wazi kwamba wapiga kura wa majimbo yenu wamepoteza tayari kura zao kwa miaka mi 5 ijayo. Rais magufuli alipita kwenye majimbo yenu na akahaidi vitu mbali mbali sasa badala mukae musikilize mipango ya serikali yake katika miak mi 5 hii nyie mna pigs kelele kama sokwe aliyeona ndizi.Mkifata mawazo ya mbowe kufanya Fujo na kupiga kelele nawahkikishia mwaka 2020 hmtarudi bungeni angalieni mfano kwa ezekile wenje na Vincent nyeyrere ambao walijikita katika kufata akili ndogo za mbowe matokeo take wakapigwa chini na wanachi. To be honest mmewasaliti wapiga kura wenu kwa kuendekeza siasa hadi bungeni mahali ambapo mngepatumia vizuri mngewapa ahueni wapiga kura wenu.
 
Katiba au mabadiliko hayaji kwa kutumia njia za mkato, hovyo na utoto. UKAWA wajenge hoja kwa takwimu kupata wanachokihitaji au kusikilizwa. UKAWA leo wametolewa kwa aibu na mambo yanaendelea kama kawaida. Badala ya kukwamisha wamejikwamisha wao wenyewe.

WATAFAKARI NA KUCHUKUA HATUA

Hoja ni kwamba Shein sio rais kwakuwa msindi ni Maalim Seif na njia za busara za kuwasilisha hoja hii imevurugwa na CCM so tunawasilisha ujumbe wetu kwanamna yoyote tunayoona inafaa.
 
Sasa mtawala awaze nini labda wakati hawa tulishazoea ndo siasa zao wakishabwia viroba ni kuzomea,kususa hii si Mara ya kwanza kwani walivyomgomea kikwete nini kilibadirika?

Hivyo viroba najua ni propaganda either yako binafsi tu. Yenye kuuzi au kukatisha tamaa. Lakini uhalisi moyoni waujua vema. Demokrasia haipo Tanzania ndugu yangu. Rais kama anabusara hawezi fuata ushauri wako kamwe. Wamefanya vema ili Rais ajue haki na wajibu ni nini kwa taifa.
 
Anasema:

-Kuhusu mchakato wa katiba kwanza napongeza Tume ya kikusanya maoni ya Warioba,Na bunge lilololeta katiba pendekezwa na sisi tutalifanya kwa mujibu wa taratibu za mabadiliko wa katiba-si nikuu ya neno kwa neno

-Tutaendeleza Kuinua uchumi kwa misingi imara ya Uchumi iliyowekwa ktk srikali ya awamu ya nne.

Je bado una matarajio positive!
Mimi nimekata tamaaa.
 
Majinga haya hayaja fanikiwa nilidhani yatagoma kutoka ili Rais asihutubie hakika haya ni majinga ya mwisho yakiongozwa na Tundu Lissu
HIVI MTU KAMA JAFFARI MICHEL AMBAYE ANA UMRI KAMA WA BABA YAKO UNAMWITA MJINGA?
-Kweli c.c.m imejaa wanasheria makanjanja...
 
Last edited by a moderator:
Wabunge wa ukawa tambueni kwamba mmepewa kura na wananchi wenu ili muende bungeni kutatua matatizo yenu na shida zao mbali mbali.Kwa kitendo cha boycott mlichokifanya Leo imeonesha wazi kwamba wapiga kura wa majimbo yenu wamepoteza tayari kura zao kwa miaka mi 5 ijayo. Rais magufuli alipita kwenye majimbo yenu na akahaidi vitu mbali mbali sasa badala mukae musikilize mipango ya serikali yake katika miak mi 5 hii nyie mna pigs kelele kama sokwe aliyeona ndizi.Mkifata mawazo ya mbowe kufanya Fujo na kupiga kelele nawahkikishia mwaka 2020 hmtarudi bungeni angalieni mfano kwa ezekile wenje na Vincent nyeyrere ambao walijikita katika kufata akili ndogo za mbowe matokeo take wakapigwa chini na wanachi. To be honest mmewasaliti wapiga kura wenu kwa kuendekeza siasa hadi bungeni mahali ambapo mngepatumia vizuri mngewapa ahueni wapiga kura wenu.

Kwenye ushindani kuna kushinda na kushindwa, je Wassira naye kapita?
 
Back
Top Bottom