Zitto mnafiki sana
Zitto ni akili kubwa hayumbishwi kama mtoto mdogo ana wazidi akili viongozi wote wa chademamisingi ya usaliti , angekuwa na misingi ya kweli angeifanya ACT iwe chama kikuu cha upinzani
Jifunze kuwa na heshima,wote tutakufa na kuwa mizoga,siasa zisikufanye ukasahau kuwa na wewe ni binadamuDkt Magufuli ana flow bila kushika hata kipeperushi....huyu ndiye rais tunaye mtaka. UKAWA walitaka kutupa mzoga wao ambao kuhutubia tu anatumia dakika 2...sasa sijui leo Bungeni angewaambia wabunge wakasome hotuba yake kwenye website ya Ikulu
Lengo limetimia ujumbe umefika hadi nje ya mipaka.
Nimewasifu sana ukawa kwa kutoka na hilo kwa mtawala mwenye akili na busara ata waza mara mbili. Sijajua Mtu wa watu atafanya nini? Ila akifuata ushauri wa ccm amekwisha kabisa. Nashauri atumie busara zake binafsi
Jamaa na mikengeza yake alifikiri wote tuna makengeza kiasi cha kuuziwa bidhaa yoyote bila kuhoji ubora wake.Dkt Magufuli ana flow bila kushika hata kipeperushi....huyu ndiye rais tunaye mtaka. UKAWA walitaka kutupa mzoga wao ambao kuhutubia tu anatumia dakika 2...sasa sijui leo Bungeni angewaambia wabunge wakasome hotuba yake kwenye website ya Ikulu
Kenge yeyote atakaeleta fujo bungeni atakua halali yetu.
Zitto ni anatake advantage of every situation to make act popular,,,Ugomvi wa ccm na cdm ni mtaji kwake!!! Hana habari na katiba na akipewa pesa ndo kabisaaaa anamute,ref escrow
Magufuli analalamika badala
ya kuchukua hatua,,, hamna kitu hapa
Wenaenda kukaa kwenye tv wasikilize hotuba iwaaingie.
Walikuwa wanawaonesha wazungu!Wapinzani tanzania ni vilaza sijawahi ona.
wanapiga kelele tu bila kujua mwisho wake zitafaidisha nini watanzania.
mkuu ZZK anajielewa sana siku zote nakujielewa kwake ndo maaana wanampa majina mengi....ukweli utabaki palepale Zito ni next level
mbona kama ni ujumbe mmeutuma mara nyingi sana? Matokeo yake ni yapi? Kwan ni mara ya kwanza kutoka nje ya bunge??