Waombolezaji wenzangu, tungefarijika kama mngetuhabarisha shughuli ya mazishi ya mashujaa wetu inavyoendelea hapo Arusha kwani saa 4 asubuhi imekaribia.
MSIBA: mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe, akiwa pamoja na Mbunge wa jimbo la Arusha, Godbless Lema, wakibeba mwili wa marehemu Ismail Omar ambaye alifariki januari 5 mwaka huu kwa kupigwa risasi na polisi akiwa katika maandamano ya chadema mjini Arusha: marehemu alizikwa leo Usa river baada ya kuagwa viwanja vya NMC mjini Arusha.
Waombolezaji wenzangu, tungefarijika kama mngetuhabarisha shughuli ya mazishi ya mashujaa wetu inavyoendelea hapo Arusha kwani saa 4 asubuhi imekaribia.
MSIBA: mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe, akiwa pamoja na Mbunge wa jimbo la Arusha, Godbless Lema, wakibeba mwili wa marehemu Ismail Omar ambaye alifariki januari 5 mwaka huu kwa kupigwa risasi na polisi akiwa katika maandamano ya chadema mjini Arusha: marehemu alizikwa leo Usa river baada ya kuagwa viwanja vya NMC mjini Arusha.
which one? kwani hao marehemu walifanya nini zaidi ya kupigwa risasi wakiwa katika maandamano batili (yasiyo halali)?It is better to be the widow of a hero than the wife of a coward
Nothing can be done by the dead. Their blood wont do anything to the lives. Their body will remain in the dust until the second coming of the son of God (Jesus Chirst, the Messiah).At last, a new bright day has come..
Rest in Peace Brothers..
Your Precious Blood Will Nourish Your Beloved Country!
We Love You Much!!
some people are very funny....man you need to wake up and go live your life...We will always remember our beloved who shed their blood for the true freedom of this country.R.I.P. Much respect mkuu kwa kutupeleka Arusha na kutujuza hali halisi ya mambo.
Hakuna mwombolezaji kati ya hawa militants..
Wanafanya usanii tu na magandwa yao.
Jambo hili linauma sana kwa ndugu wa waliofiwa na waombolezaji wa kweli.
Tunamwachia Mungu.
which one? kwani hao marehemu walifanya nini zaidi ya kupigwa risasi wakiwa katika maandamano batili (yasiyo halali)?