The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Natamani sana ningekuwepo Arusha leo hii
Haki na Damu ya mtu huwa haipotei bure
msafara unaingia
hapa mochwari namwona godbless lema.mbowe na wengine wengi sijui kuna mabishano gani huko ndani. ila bado tunasubiri tujue ni kitu gani kitaendelea.ila huku nje kila mtu anasema lake ila habari kamili 2tapata watakapotoka nje
Slaa na desamburo ndo wanaingia sasa
mwanamapinduzi mmoja akifa katika frontline, wanazaliwa wengine elfu elfu.
Kila mtenda wema atakumbukwa kwa wema
Ukatili, ukatili ni unyama
Ukatili, ukatili ni unyama
Mashujaa tutawakumbuka kwa wema
Mlokubali kujitoa muhanga
Kwa ajili ya kutetea haki zetu
Kwa ajili ya kutetea utu wetu
Afadhali ya kufa kuliko kuonewa
Afadhali ya kufa kuliko kunyanyaswa
Mashujaa tutawakumbuka daima ee MILELE.
…………….Kuzitoa roho za watu bila sababu
Hata watoto wadogo wamekosa nini ?
Mtakwenda sema nini mbele ya Mungu
Mtakwenda sema nini mbele ya Mungu
Hayo ni maneno ya Hayati Marijani Rajabu kwenye wimbo wake unaitwa UKATILI NI UNYAMA
shika adabu yako ms wewe, ameingia dr, josephine, mdee, anna komu, ndessa au umsafara ni upiAcha uongo, nitawaarifu tukianza safari. Kuna utata huko ndani