Duh! kilimo kwanza au?Hawa atateuliwa mbunge then atapewa unaibu waziri wa kilimo
Mkuu hukumbuki kwamba waliagizwa wafungue kesi?Nadhani anachofanya Hawa ni kutafuta umaarufu tu.
Huyu Hawa Ng'umbi awe mbunge wa nani alhali nilimkuta MSAKUZI akigawa rushwa nikamwambia hata kwa mawe na marungu huwezi kuwa MBUNGE. Hatuhitaji wabunge wa magamba UBUNGO akafie mbali na rushwa zake. Asubiri UKUU wa WILAYA maana msela atam-consider tu katika wilaya zake mpya za mikoa minne. KAFIE MBALI HAWA NG'OMBE
Hata hivyo si alikuwa ni mkuu wa wilaya wakati ule???
Mama huyu kuna wakati ililipotiwa kuwa ana hali mbaya kiafya na alipelekwa India, hivi alishapona??
Jamaa wa tume pia hawako makini. Inakuwaje matokeo ya uchaguzi yajumlishwe kwa wagombea wawili tu na wengine matokeo yao yasionyeshwe. Yaani ukifuatilia hata si kwa umakini sana utatambua kuwa this case is on the favour of CDM.
Kama inavyosemwa hapa kila siku hapa JF, hakuna kesi hapa watu wameamua kuchezea fedha za umma ambazo zingeweza kuelekezwa katika kuboresha huduma za kijamii lakini wao wameamua kuzichezea.