YALIOJILI KATIKA KESI YA MH: JOHN MNYIKA VS HAWA NGHUMBI
DAI LA KURA HEWA ELFU 15.
SHAHIDI WA HAWA NGHUMBI.
Wakili; katika chumba cha majumlisho ya jumla, baada ya kumaliza kujumlisha kura vyama shiriki vinapata nakala?
Shahidi: Ndio wanapata.
Wakili: uchaguzi 2010 je vyama vilipata nakala?
Shahidi: ndio, na ni kwa chama changu.
Wakili: je nakala ulizotoa ni sahihi?
Shahidi: ndio, ni sehemu ya nakala
Wakili:huwa mnapewa copy au 0riginal?
Shahidi: tunapewa copy
Wakili: kwanini sasa hapa mahakamani umeleta photocopy badala ya copy ya original?
Shahidi: mi sijui labda umuulize wakili wangu.
Wakili: je kwy fomu ilizoleta mahakamni kuna wakala wa ccm?
Shahidi: ndio
Wakili:je una wasiwasi na wakala wa ccm?
Shahidi:sina wasiwasi
Wakili: anaonyesha fomu ambayo wakala wa ccm katika kituo amesaini. Je aliyesaini ni wa chama gani?
Shahidi: mi sijui sababu sikuwepo.
Wakili: ok
Wakili:je unaudhibitisho juu ya laptop unazodai mnyika amezingiza kwa ajili ya kuhesabia?
Shahidi:sina udhibitisho.
WAKILI WA MLALAMIKIWA.
Wakili: fomu ya matokeo inaonyesha wewe ukusaini, je unaidhibitishia vipi mahakama kama ulikuwepo siku ya majumrisho?
Shahidi: nilikuwepo na mimi nilipewa nakala.
Wakili: bado hujajibu swali, kwa maana hiyo hukuwepo na hayo maneno umeyatunga.
Shahidi; nilikuwepo na hata chama changu kinajua.
Wakili: ulisema mnyika aliingia na wafuasi wake zaidi ya nane, na uliwataja wanne tu, kama ulikuwepo taja na wengine waliobaki?
shahidi: wanatosha hao niliowataja.
Wakili: ulisema mnyika aliingia na wafuasi wake, je kati ya wewe na mnyika nani alianza kuingia ktk chumba cha majumuisho.
Shahidi: mnyika alianza.
Wakili:sasa ulionaje kama mnyika aliingia na wafuasi wake?
Shahidi: kuna baadhi walikuja baada na wengine ni kabla.
Wakili: ulisema wale waliongia walikua wanawazonga wasimamizi, je watu wa usalama hawakuwepo?
Shahidi: ndio walikuwepo.
Wakili: je ulikwenda kuwalalamikia kwa watu wa usalama?
Shahidi: sio jukumu langu.
Wakili: ni jukumu la nani?
Shahidi; msimamizi wa uchaguzi.
Wakili: mlipata bahati ya kuwepo kwa mkurugenzi wa uchaguzi [kiravu] kwa nchi nzima, je naye ulimlalamikia?
Shahidi: nilimlalamikia
Wakili: alikujibu nini?
Shahidi: hakunijibu
Wakili:je wale wafuasi wa mnyika walikua na shughuri gani?
Shahidi: kuwazonga wasimamizi
Wakili: je watu wa usalama hawakuwazuia?
Shahidi: ndio hawakuwazuia
Jaji: umeathiri vp matokeo?
Shahidi: kupatikana kwa kura hewa hizo elfu 15
Wakili: wakati wa kampeni ulisema ratiba ya tume ilikua haifuatwi, je ni kwa chama chako tu au na vingine?
Shahidi; vyama vyote
Wakili: unaushahidi gani kama vyama vingine havifuati?
Shahidi: ilishawahi kutokea kwa mgongano wa kuingiliana kwa mkutano maeneo ya mbezi kati ya ccm naa cdm
Wakili: nani siku hiyo alikua na ratiba ya mkutano kwa mujibu wa ratiba ya tume?
Shahidi; cdm
Wakili: je unajua idadi ya fomu ulizoleta hapa mahakamani unazolalamikia.
Shahidi: sio dai langu.
Jaji: aliingia jaji na kusema unapaswa kujibu sababu umeleta hapa mahakamani ni lalamiko.
Shahidi: sijui.
Wakili: moja kati ya kazi ya wakala wa ndani wa majumuisho ni kurekebisha kasoro zilizojitokeza kwenye vituo, ni kweli?
Shahidi: sio
Wakili: wakili akampa fomu asome sehemu ambayo inaelezea moja ya kazi ya wakala na hiyo aliyoisema wakili ipo.
Shahidi: mimi sijui hicho.
Wakili: je unajua tofauti ya kura kati ya mnyika na hawa nghumbi?
Shahidi: sijui
Wakili: sasa uliwakilisha nini kama hujui?
Shahidi: na ndio maana sikusaini baada ya kuona madudu niliacha.
Wakili: je baada ya kuona kuna kasoro je ulijaza fomu za malalamiko?
Shahidi: hapana
Wakili: kuhusu mnyika kuingiza laptop zake na kuzitumia kwa ajili ya majumuisho, je zilikua ngapi?
Shahidi: tano
Wakili: je alizibeba mwenyewe?
Shahidi: ndio alibeba mwenyewe zote tano.
Wakili: je wakati mnyika anaingiza hizo je za tume zilikua mbovu?
Shahidi: hazikua mbovu, bali zilikua slow.
Wakili: wakati unajielezea mwisho ulisema matokeo yabatilishwe na uchaguzi urudiwe ni kweli?
Shahidi: ndio
Wakili: kwanini uchaguzi urudiwe na si kuhesabiwa tena kura za kwenye mabox, ambazo bado yapo hadi leo yameifadhiwa na tume na utaratibu huu upo?
Shahidi: siwezi kusema kura zihesabiwe wakati nilishasema uchaguzi urudiwe.
Jaji: jaji aliingilia kati na kumwambia shahidi ajibu swali na si maelezo.
Shahidi: sikujua kama utaratibu huo upo.
Wakili: sasa ushajua utaratibu huo upo wa kuhesabiwa kura tena kama kuna utata, je uko tayari?
Shahidi: nipo tayari.
Wakili: ok mh jaji mi nimemaliza.
Jaji: kuna shahidi mwingine
Wakili wa mshitaka: alipaswa kufika lakini hajafika hadi muda huu na hiyo ni kutokana na kuchelewa kupewa ruhusa.
Jaji: je kesho mna uhakika atakuja?
Wakili: ndio mh jaji. Mara wakili aliongea na mgombea [mlalamikaji] na kumpa taarifa wakili kuwa shahi wan ne hawezi kuja amekataa.
Wakili: akatoa taarifa kwa jaji
Jaji: je zaidi ya huyo kuna shahidi mwingine.
Wakili: hakuna, kwa maana hiyo tumefunga mashahidi kwa upande wetu. [mlalamikaji]
Kesi imehairishwa hadi tarehe 29/03/2012 saa tatu asubuhi, mahakama ya kazi iliyopo [akiba].
DAI LA KURA HEWA ELFU 15.
SHAHIDI WA HAWA NGHUMBI.
Wakili; katika chumba cha majumlisho ya jumla, baada ya kumaliza kujumlisha kura vyama shiriki vinapata nakala?
Shahidi: Ndio wanapata.
Wakili: uchaguzi 2010 je vyama vilipata nakala?
Shahidi: ndio, na ni kwa chama changu.
Wakili: je nakala ulizotoa ni sahihi?
Shahidi: ndio, ni sehemu ya nakala
Wakili:huwa mnapewa copy au 0riginal?
Shahidi: tunapewa copy
Wakili: kwanini sasa hapa mahakamani umeleta photocopy badala ya copy ya original?
Shahidi: mi sijui labda umuulize wakili wangu.
Wakili: je kwy fomu ilizoleta mahakamni kuna wakala wa ccm?
Shahidi: ndio
Wakili:je una wasiwasi na wakala wa ccm?
Shahidi:sina wasiwasi
Wakili: anaonyesha fomu ambayo wakala wa ccm katika kituo amesaini. Je aliyesaini ni wa chama gani?
Shahidi: mi sijui sababu sikuwepo.
Wakili: ok
Wakili:je unaudhibitisho juu ya laptop unazodai mnyika amezingiza kwa ajili ya kuhesabia?
Shahidi:sina udhibitisho.
WAKILI WA MLALAMIKIWA.
Wakili: fomu ya matokeo inaonyesha wewe ukusaini, je unaidhibitishia vipi mahakama kama ulikuwepo siku ya majumrisho?
Shahidi: nilikuwepo na mimi nilipewa nakala.
Wakili: bado hujajibu swali, kwa maana hiyo hukuwepo na hayo maneno umeyatunga.
Shahidi; nilikuwepo na hata chama changu kinajua.
Wakili: ulisema mnyika aliingia na wafuasi wake zaidi ya nane, na uliwataja wanne tu, kama ulikuwepo taja na wengine waliobaki?
shahidi: wanatosha hao niliowataja.
Wakili: ulisema mnyika aliingia na wafuasi wake, je kati ya wewe na mnyika nani alianza kuingia ktk chumba cha majumuisho.
Shahidi: mnyika alianza.
Wakili:sasa ulionaje kama mnyika aliingia na wafuasi wake?
Shahidi: kuna baadhi walikuja baada na wengine ni kabla.
Wakili: ulisema wale waliongia walikua wanawazonga wasimamizi, je watu wa usalama hawakuwepo?
Shahidi: ndio walikuwepo.
Wakili: je ulikwenda kuwalalamikia kwa watu wa usalama?
Shahidi: sio jukumu langu.
Wakili: ni jukumu la nani?
Shahidi; msimamizi wa uchaguzi.
Wakili: mlipata bahati ya kuwepo kwa mkurugenzi wa uchaguzi [kiravu] kwa nchi nzima, je naye ulimlalamikia?
Shahidi: nilimlalamikia
Wakili: alikujibu nini?
Shahidi: hakunijibu
Wakili:je wale wafuasi wa mnyika walikua na shughuri gani?
Shahidi: kuwazonga wasimamizi
Wakili: je watu wa usalama hawakuwazuia?
Shahidi: ndio hawakuwazuia
Jaji: umeathiri vp matokeo?
Shahidi: kupatikana kwa kura hewa hizo elfu 15
Wakili: wakati wa kampeni ulisema ratiba ya tume ilikua haifuatwi, je ni kwa chama chako tu au na vingine?
Shahidi; vyama vyote
Wakili: unaushahidi gani kama vyama vingine havifuati?
Shahidi: ilishawahi kutokea kwa mgongano wa kuingiliana kwa mkutano maeneo ya mbezi kati ya ccm naa cdm
Wakili: nani siku hiyo alikua na ratiba ya mkutano kwa mujibu wa ratiba ya tume?
Shahidi; cdm
Wakili: je unajua idadi ya fomu ulizoleta hapa mahakamani unazolalamikia.
Shahidi: sio dai langu.
Jaji: aliingia jaji na kusema unapaswa kujibu sababu umeleta hapa mahakamani ni lalamiko.
Shahidi: sijui.
Wakili: moja kati ya kazi ya wakala wa ndani wa majumuisho ni kurekebisha kasoro zilizojitokeza kwenye vituo, ni kweli?
Shahidi: sio
Wakili: wakili akampa fomu asome sehemu ambayo inaelezea moja ya kazi ya wakala na hiyo aliyoisema wakili ipo.
Shahidi: mimi sijui hicho.
Wakili: je unajua tofauti ya kura kati ya mnyika na hawa nghumbi?
Shahidi: sijui
Wakili: sasa uliwakilisha nini kama hujui?
Shahidi: na ndio maana sikusaini baada ya kuona madudu niliacha.
Wakili: je baada ya kuona kuna kasoro je ulijaza fomu za malalamiko?
Shahidi: hapana
Wakili: kuhusu mnyika kuingiza laptop zake na kuzitumia kwa ajili ya majumuisho, je zilikua ngapi?
Shahidi: tano
Wakili: je alizibeba mwenyewe?
Shahidi: ndio alibeba mwenyewe zote tano.
Wakili: je wakati mnyika anaingiza hizo je za tume zilikua mbovu?
Shahidi: hazikua mbovu, bali zilikua slow.
Wakili: wakati unajielezea mwisho ulisema matokeo yabatilishwe na uchaguzi urudiwe ni kweli?
Shahidi: ndio
Wakili: kwanini uchaguzi urudiwe na si kuhesabiwa tena kura za kwenye mabox, ambazo bado yapo hadi leo yameifadhiwa na tume na utaratibu huu upo?
Shahidi: siwezi kusema kura zihesabiwe wakati nilishasema uchaguzi urudiwe.
Jaji: jaji aliingilia kati na kumwambia shahidi ajibu swali na si maelezo.
Shahidi: sikujua kama utaratibu huo upo.
Wakili: sasa ushajua utaratibu huo upo wa kuhesabiwa kura tena kama kuna utata, je uko tayari?
Shahidi: nipo tayari.
Wakili: ok mh jaji mi nimemaliza.
Jaji: kuna shahidi mwingine
Wakili wa mshitaka: alipaswa kufika lakini hajafika hadi muda huu na hiyo ni kutokana na kuchelewa kupewa ruhusa.
Jaji: je kesho mna uhakika atakuja?
Wakili: ndio mh jaji. Mara wakili aliongea na mgombea [mlalamikaji] na kumpa taarifa wakili kuwa shahi wan ne hawezi kuja amekataa.
Wakili: akatoa taarifa kwa jaji
Jaji: je zaidi ya huyo kuna shahidi mwingine.
Wakili: hakuna, kwa maana hiyo tumefunga mashahidi kwa upande wetu. [mlalamikaji]
Kesi imehairishwa hadi tarehe 29/03/2012 saa tatu asubuhi, mahakama ya kazi iliyopo [akiba].