Yaliyojili baada ya kuitambulisha riwaya yenye jina la shimo la taka ndani ya Ikulu!

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,014
8,364
Habar wanajamvi?

Miezi kadhaa iliyopita,nikiwa KISIWANI ukelewe,baada ya angaika angaika zangu nilijibanza kweny kibaa kidgo cha makuti na kuanza kuagiza moja moto moja baridi uku nikifatilia taarifa ya habar!

Huku,nikiwa na msongo wa mawazo dhidi ya niliyokutana nayo tangu nilipoingia kwnye Kisiwa cha ukelewe!

Ndani ya tafakuri nzito,nilijiwa na maono yaliyonitaka nifanye kazi nyingine ya ziada,nayo ni kiwasema wale ambao niliisi hawana fursa ya kufikisha sauti zao kwa watawala pamoja na jamii zao zinazowazunguka.

Nikili kuwa niliyoyaona huko yalikuwa yanatisha kidgo,na niliwai kutaona hata mikoa zaid ya mitano.

Ili kufanikisha hadhima yangu iliyosheheni matumaini niliamua kuanza utunzi wa RIWAYA NILIYOIPA JINA LA SHIMO LA TAKA NDANI YA IKULU!

Sikuona haya hata hapa JF niliitangaza na nikaaidi kuitunga kwa umaili wa hali ya juu sanaa

CHOKO CHOKO ZAANZA KUTOKA KWA WASIOJULIKANA!

kwanza nilipigiwa simu na no ambazo sikuona umuhimu wa kuziifadhi zikinitaka nibadili JINA la riwaya yangu kwani ikulu ni pahala patakatifu hapawezi kuwa na shimo la TAKA!

Aliyenipigia hatukuelewana maana nilimwambia kabsa swezi badili mana hata ikulu kuna wananchi wanaishi je hawali? Kama wala je hizo takataka zitokanazo na vyakula vyao utupwa wap? Hapo alikata simu na kuniambia shauri yangu itanikosti!

Wapili huyu,yeye alinipigia na kunishaur kuwa Riwaya yangu niipeleke ikahaririwe pahala fulani kbla ya kuitoa nikamwambia mhariri hata mke wangu anaweza akakasirika na kuniambia shauri yangu itanikost skujali.

Wa tatu aliniambia ongera ila jiangalie JINA SIO ZURI

sasa nakarbia kuimalizia riwaya hii sjabdili chochote ila nimegundua katika taifa ili kuna watu wanaishi kidhanifu na si kiyakinifu mwisho wao watu hawa ni mbaya hasa nchi inapokuwa na wasomi wengi.

Karbuni BARAZANI MWA SIFILEO MJIPATIE NAKALA YA RIWAYA YA SHIMO LA TAKA NDANI YA IKULU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo umeanza kuipa Kiki namna hii.. tumekuelewa lkn lipia tangazo
 
Mkuu not to that extent ,huwezi kuikashfu ikulu namna hiyo,hata wakongwe katika utungaji wa riwaya na hadithi akina shaban robart na wenngineo walijua maana ya tafsida na kuitumia.

Hivi unadhani kila mtu akijiamulia afanye atakavyo ,pengine hata wewe ndugu unaweza ukachorwa ukiwa umeinamishwa unaf...lwa..

Kama kweli unania nzuri ya kufikisha ujumbe tumia njia iliyo sahihi.

Lasivyo ulichoambiwa na hao watu kitakutokea puani.

Shauri yako..
 
Kopi nitapata wapi naomba mawasiliano yako/ kitabu naomba please
Habar wanajamvi?

Miezi kadhaa iliyopita,nikiwa KISIWANI ukelewe,baada ya angaika angaika zangu nilijibanza kweny kibaa kidgo cha makuti na kuanza kuagiza moja moto moja baridi uku nikifatilia taarifa ya habar!

Huku,nikiwa na msongo wa mawazo dhidi ya niliyokutana nayo tangu nilipoingia kwnye Kisiwa cha ukelewe!

Ndani ya tafakuri nzito,nilijiwa na maono yaliyonitaka nifanye kazi nyingine ya ziada,nayo ni kiwasema wale ambao niliisi hawana fursa ya kufikisha sauti zao kwa watawala pamoja na jamii zao zinazowazunguka.

Nikili kuwa niliyoyaona huko yalikuwa yanatisha kidgo,na niliwai kutaona hata mikoa zaid ya mitano.

Ili kufanikisha hadhima yangu iliyosheheni matumaini niliamua kuanza utunzi wa RIWAYA NILIYOIPA JINA LA SHIMO LA TAKA NDANI YA IKULU!

Sikuona haya hata hapa JF niliitangaza na nikaaidi kuitunga kwa umaili wa hali ya juu sanaa

CHOKO CHOKO ZAANZA KUTOKA KWA WASIOJULIKANA!

kwanza nilipigiwa simu na no ambazo sikuona umuhimu wa kuziifadhi zikinitaka nibadili JINA la riwaya yangu kwani ikulu ni pahala patakatifu hapawezi kuwa na shimo la TAKA!

Aliyenipigia hatukuelewana maana nilimwambia kabsa swezi badili mana hata ikulu kuna wananchi wanaishi je hawali? Kama wala je hizo takataka zitokanazo na vyakula vyao utupwa wap? Hapo alikata simu na kuniambia shauri yangu itanikosti!

Wapili huyu,yeye alinipigia na kunishaur kuwa Riwaya yangu niipeleke ikahaririwe pahala fulani kbla ya kuitoa nikamwambia mhariri hata mke wangu anaweza akakasirika na kuniambia shauri yangu itanikost skujali.

Wa tatu aliniambia ongera ila jiangalie JINA SIO ZURI

sasa nakarbia kuimalizia riwaya hii sjabdili chochote ila nimegundua katika taifa ili kuna watu wanaishi kidhanifu na si kiyakinifu mwisho wao watu hawa ni mbaya hasa nchi inapokuwa na wasomi wengi.

Karbuni BARAZANI MWA SIFILEO MJIPATIE NAKALA YA RIWAYA YA SHIMO LA TAKA NDANI YA IKULU.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu not to that extent ,huwezi kuikashfu ikulu namna hiyo,hata wakongwe katika utungaji wa riwaya na hadithi akina shaban robart na wenngineo walijua maana ya tafsida na kuitumia.

Hivi unadhani kila mtu akijiamulia afanye atakavyo ,pengine hata wewe ndugu unaweza ukachorwa ukiwa umeinamishwa unaf...lwa..

Kama kweli unania nzuri ya kufikisha ujumbe tumia njia iliyo sahihi.

Lasivyo ulichoambiwa na hao watu kitakutokea puani.

Shauri yako..
Sasa ndgu kweli na ww unajiita mwana Jf nadhani utakuwa miongoni mwa wanaopendwa kuinamishwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar wanajamvi?

Miezi kadhaa iliyopita,nikiwa KISIWANI ukelewe,baada ya angaika angaika zangu nilijibanza kweny kibaa kidgo cha makuti na kuanza kuagiza moja moto moja baridi uku nikifatilia taarifa ya habar!

Huku,nikiwa na msongo wa mawazo dhidi ya niliyokutana nayo tangu nilipoingia kwnye Kisiwa cha ukelewe!

Ndani ya tafakuri nzito,nilijiwa na maono yaliyonitaka nifanye kazi nyingine ya ziada,nayo ni kiwasema wale ambao niliisi hawana fursa ya kufikisha sauti zao kwa watawala pamoja na jamii zao zinazowazunguka.

Nikili kuwa niliyoyaona huko yalikuwa yanatisha kidgo,na niliwai kutaona hata mikoa zaid ya mitano.

Ili kufanikisha hadhima yangu iliyosheheni matumaini niliamua kuanza utunzi wa RIWAYA NILIYOIPA JINA LA SHIMO LA TAKA NDANI YA IKULU!

Sikuona haya hata hapa JF niliitangaza na nikaaidi kuitunga kwa umaili wa hali ya juu sanaa

CHOKO CHOKO ZAANZA KUTOKA KWA WASIOJULIKANA!

kwanza nilipigiwa simu na no ambazo sikuona umuhimu wa kuziifadhi zikinitaka nibadili JINA la riwaya yangu kwani ikulu ni pahala patakatifu hapawezi kuwa na shimo la TAKA!

Aliyenipigia hatukuelewana maana nilimwambia kabsa swezi badili mana hata ikulu kuna wananchi wanaishi je hawali? Kama wala je hizo takataka zitokanazo na vyakula vyao utupwa wap? Hapo alikata simu na kuniambia shauri yangu itanikosti!

Wapili huyu,yeye alinipigia na kunishaur kuwa Riwaya yangu niipeleke ikahaririwe pahala fulani kbla ya kuitoa nikamwambia mhariri hata mke wangu anaweza akakasirika na kuniambia shauri yangu itanikost skujali.

Wa tatu aliniambia ongera ila jiangalie JINA SIO ZURI

sasa nakarbia kuimalizia riwaya hii sjabdili chochote ila nimegundua katika taifa ili kuna watu wanaishi kidhanifu na si kiyakinifu mwisho wao watu hawa ni mbaya hasa nchi inapokuwa na wasomi wengi.

Karbuni BARAZANI MWA SIFILEO MJIPATIE NAKALA YA RIWAYA YA SHIMO LA TAKA NDANI YA IKULU.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wasiojulikana wana uhusiano gani na Shimo la Taka Ndani ƴa Ikulu!? Haiwezekani riwaƴa hata haijachapishwa wameshaanza vitisho!
Riwaƴa ikishatoka naona hawatasubiri saa saba mchana, itakuwa saa moja asubuhi tu wanamaliza ɓiashara!
 
Back
Top Bottom