Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,080
- 8,218
Mwenye PhD alikuwepo, alifanya nini zaidi ya kutuachia Legacy za hovyo? Kiongozi bora kabisa wa upinzani kwa kipindi cha miaka ishirini sasa hapa TZ unajua elimu yake? Profesa Lipumba pamoja na uprofesa wake si amekiua CUF? Acha ulimbukeni wa kuhudu mavyeti na madegree, ni makaratasi tu, elimu ya kweli ipo kwenye ubongo wa mtu na siyo makaratasi!!!!!Umemuona SSH mwenye diploma ndio mtu sahihi?