usijivike vest tu...!!!Kwa wewe kafiri 'mla nguruwe' huwezi elewa chochote. Bali kulaumu tu!
Kwenye Tango na Asali sijui (ila ipo siku nitajaribu)huwezi kula supu (ya nyama) na maziwa fresh usiharishe. Huwa haishauriwi.
ni kama kulamba asali na muda huohuo utafune tango, lazima uage dunia.
KabisaHili jambo walishalishindwa kabisa,yaani majamaa mila na desturi za kiarabu wanaona ndio uislamu wakisahau kuwa kuna waarabu kibao wasio waislamu.
Ndugu yangu ni wachache wanatambua hilo.Si vizuri kula barabarani manyama na chapati afu nyumban wanashindia ugali wa Matembele.
Ni vizuri mtu ukaacha nyumbani mambi safi ,sio kwenda kuchoma nyama kilo barabaran afu nyumban wanapika dagaa wa mafuta
Mbwa babakoM.......F......C.....K.....R
Kama hii sio dini yako usitukane pita pembeni itakukosti siku moja wewe M.b.w.a
Mkuu sijasomea mkopo Hata Hivyo kioo Cha simu kimevunjika vunjika.Tafadhali mkuu, hebu andika tena upya.... kama ulisoma kwa mkopo ujue nina haki ya kukutaka ufanye hivyo.
We muongo!Leo nimeamka nikiwa simple tu nilipigiwa simu ofisini nielekee sehemu moja Magomeni kwa shughuli za kikazi. Nilivaa vazi ambalo wengi husema asili yake ni uarabuni. Lakini mimi nilinunua duka la kihindi wanaita Punjab Style.
Ni mpenzi wa kuvaa hivyo huvaa nguo tofauti tofauti za tamaduni mbalimbali.Kuna siku unaweza nikuta nimevaa kimasai.
Nikiwa navuta muda kuweza onana na mtu wangu nikaona nishuke kwenye gari nikae sehemu moja wanauza chakula na nikaagiza soup ya mbuzi na chapati nne na maziwa fresh.
Nimekaa nakula akaja jamaa mmoja ananiita mimi kobe? Sukumwelewa anamaanisha nini.Baadaye mwingine pembeni ndo akanambia kwanini nakula hadharani? Nilimjibu ni haki yangu kula popote kwa wakati wowote.
Jamaa yule wa kwanza alitoka akaja na wenzie watatu wameshika bakora etu kuniadabisha kwa kuudhalilisha Uislamu. Jamaa wamekomaa hasa na bakora zao na imekuwa zogo.
Niliwaambia nataka nimwone wa kwanza kunichapa bakora.Nikasimama maana ndani ya ile nguo nimevaa kisuruali ambacho kina mifuko.Nikatoa silaha maana nilihisi wale jamaa wanataka kuhatarisha maisha yangu.
Hiyo ndo imekuwa ponea yangu sababu jamaa waliona nipo serious nami ningelazimika kufanya mauaji ya halaiki kwa wale jamaa maana walisha paniki bila sababu wanataka kuniadhibu for no reason.
Nauliza waungwana kuna kosa gani mimi kula mchana nikiwa nimevaa mavazi ambayo leo nimeambiwa ni ya kiislamu?mimi nafahamu wayahudi wanavaa hivi huko Israel. Nafahamu kuna wakristo wa kiarabu wanavaa hivi.
Kwanini hili vazi lionekane ni la dini fulani? Mimi binafsi sifungwi na dini nina imani yangu kwa Mungu lakini sibanwi na dini, sipendi unafiki.
Why waone nadhalilisha uislam wakati sikuongea neno lolote la kiislamu au sikufanya ishara yoyote ya kuonesha mimi ni mkristo au muislam?
Hizi akili hawa jamaa walitoa wapi kuona wanastahili kuniadhibu acha kuniita kobe sikuona issue sababu hata ukiniita shetani ikiwa najua mi si shetani siwezi gombana nawe.
Mi nadhani tuheshimiane na tuheshimu haki za watu wengine. Mimi nimekulia ktk mazingira ya kiislam naufahamu uislamu some how naufahamu ukristo some how. Tusitake kuendesheana maisha.
Leo kweli ngemchapa mtu risasi ya mguuni na ingekuwa gumzo. Najua kuna watu watakuwa wamechukua video tukio hilo. I dont care but nawaambia watu wasio na ustaarabu wasitumie dini vibaya.
ipo hivyoNafikiri ana maanisha uwe una miliki pesa nyingi ya kuhitaji ulinzi. Sio pesa ya kununulia bastola.
Mama Debora wacha kututisha na theory zako za kijiweni mama! Watu tunakula kachumbali ya mix ya tango na asali mbona hamna kinachotokea? https://www.honey.com/recipe/honey-cucumber-saladhuwezi kula supu (ya nyama) na maziwa fresh usiharishe. Huwa haishauriwi.
ni kama kulamba asali na muda huohuo utafune tango, lazima uage dunia.
Ila sometime sisi wafuasi wa Muddy tuna tabu. Yaani mtu anaacha kufunga anaanza kutamani chakula cha wasiofunga hata kudiriki kutaka kumpora kwa bakora. Ukifunga usitamani kula mchana.Aiseee.... Hapa ulitumia logic sijui kama walikuelewa.... Mimi hawa watu wanaodhani wanazijua dini sana kuliko wengine