wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 167
haya watanzania ndio mjue hizo mahakama zenu za tanzania mjue watanzania wengi hapa nchini wanadhurumiwa haki zao na hizo mahakama kwa onyonge wao kwa kukosa hela mwenye hela anapewa ushindi wakati hana haki.
hakimu akikosa mahakama imekosea hakimu akifanya vizuri anasifiwa hakimu
hakimu akikosa mahakama imekosea hakimu akifanya vizuri anasifiwa hakimu