Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
kwani nini sioni shida naona mnachangia vinginevyo wengi wenu ni washirika wa hilo sasa kumbe anaelimu kuwa boss anafaa kumbe kabobea sasa hizo hirizi ni utamaduni tu mbona kwa waislamu lazime wawe na majini hamuoni ajabu huo ni utamaduni na desturi za watanganyika ndo maana mna abudia utamaduni wa kizungu yamepitwa na wakati upi na upi uliokuja na toka kwa nani kwa manufaa ya nani naomba kama mmeelimika eleweni basi msioneshe ukomavu wa kutoelimika ili hali mmesoma wengine wenu kwani akivaa hirizi wewe usie iamini unaona tabu gani kama husadiki na hilo mbona ni kawaida ungekuta ana biblia ndogo au msahafu ndani ungesema teme mbona watu wanalala na biblia kitanda ni badala ya kuwa na imani ya kusali tu kaama mnavyo elekezwa nawalimu wenu wa dini naomba jiulize kwa upande wa pili
Please, huwezi kusema wengi wetu kijumla jumla namna hiyo. Tafadhali jitahidi usiwakwaze watu. Binasfi naweza kuapa chini ya mbingu na nchi kwamba sijawahi kukanyaga kwa sangoma. Sasa umeanzia wapi kupata hiyo conclusion?