NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
- Thread starter
- #21
Bwana Nguli Polen sana
Labda halii hii tungemgeuza kikwete alipoanguka Jangwani akika asingetofautiana nae.hayo madudu ndio yanayowapeleka hapo walipo..labda kwa kifupi ukiwa kazini jitahdi kusimama na Mungu sana wengi wanaocheka na wewe wako na charms..hiyo cha mtoto boss wangu mmoja ofisi nilioacha kazi yeye alikuwa zake anaweka katikati ya sehemu za siri unaweza ona mateso gan ..huyu baada ya mwaka sijui kama ana bikira tena
ni msomi mzuri ana masters ya finance na ACCA as an added advantage to this organization.
ukimchunguza vizuri anaweza kuwa na PHD as added advantage
ya hayo madude..akipona muulizen vizuri rmbu nipe wd niko muhimbili hapa nikayalipue natangaza damu ay yesu wd nzima yakilipuka atakupa historia alipoyachukua...ntajie wd tu namba siitaji mi napita kutangaza moto wa YESU ndani joto lake atakuadithia
Nakutumia kwenye PM mpaka no. yake ya simu akipokea twanga maombi hukohuko mkuu
Dah, huku makazini kuna mambo no wonder vijana kama nguli hawapandi cheo (shemejiiiiiiiiiiiiii) kumbe watu wana hirizi zinazopumua lol.
Shemeji ndio maana hatuendelei unepotelea wapi lakini? jukwaa limepwaya sana baada ya wewe na BHT kupotea
Nina Yesu...I don't need hirizi or anything
Amen
To handle such witch craft trophies, you need first to undergo certain evil procedures. Among of those procedures include killing Albino, sleeping with your daughter or mother or sodomize infants. As you violate these conditions means selling your life openly to people who gave you the trophies. Angeuliza kwanza.
Ha ha ha ha mkuu naona umeamua kubatiza hirizi kuwa AWARD/TITLE
aiseee, yani mtu hajiamini ye mwenyewe mpaka nguvu za ziada.
ukute hata mkewe hajui,huwa anaivaa kwenda kazini tu.
Kweli huko ni kutokujiamini