Hii picha inapatikana kwenye gazeti la Mwananchi la leo. Huyu Mheshimiwa bado anaendeleza mbonji bungeni na posho anachukua vile vile.
View attachment 32430
Na analamba per diem yake swafiii .... mambaaaffffffffff
Yep so long amesaini form kuwa yupo bungeni. Spika anamtetea huyu: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...abari-iliyochapishwa-na-gazeti-mtanzania.html
Kachaguliwa na huyu amwakilishe huko bungeni.
Nchi inataia aibu sana hii..yaani ukiangalia jinsi watu tuko nyuma kimaendeleo bado haya majamaa yanalilia posho eti huyu PM dhaifu nae anasema eti posho ni mhimu zinagawiwa wapiga kura!! shame