Wakuu,
Matokeo ya mitihani kidato cha nne (2009) yametoka juzi na kama kawaida yetu aibu ya kufeli vibaya vijana wetu imeendelea kutuandama. Hebu fikirieni kati ya
Wanafunzi zaidi ya 339,000 waliofanya mtihani zaidi ya asilimia 87 wamepata division 4 na Division Zero. Aibu tupu.
Matokeo ya mitihani kidato cha nne (2009) yametoka juzi na kama kawaida yetu aibu ya kufeli vibaya vijana wetu imeendelea kutuandama. Hebu fikirieni kati ya
Wanafunzi zaidi ya 339,000 waliofanya mtihani zaidi ya asilimia 87 wamepata division 4 na Division Zero. Aibu tupu.