Yale mazoezi ya kushtukiza airport ni ya kifisadi

themagnificient

JF-Expert Member
Dec 13, 2016
988
3,318
Mara nyingi wamekuwa wakitushtukiza hapa jf kwa ajali za uwongo mwisho wa siku utawakuta wamejipanga na magari yao watatafuta screpa wataliwasha moto alafu wanaanza kuzuga kuwa wanalizima utazani wapo serious vile, wanasemaga kuwa walikuwa kwenye zoezi la utayari hivyo wanajiweka fit kwa lolote likitokea watu wawe chap kuokoa na kumbukeni yale mambo huwa yanaleta taharuki hata kwa wasafiri, Sasa huwezi amini ajali ya ukweli leo ilivyotokea walikuwa wapi aisee

Yale mazoezi ya kushtukiza natumaini huwa kuna posho na marupurupu na huwa kuna bajeti za kuyaandaa ila zinapokuja kutokea ajali za ukweli utajiuliza walikuwa wapi, ni heri pesa za ya yale mazoezi mnayosema ni ya utayari mrejeshe mara moja ni utapeli
 
kila mbuzi anakulaa kwa urefu wa kamba yake bwasheee...hkn anayemjali mwenzakee usawa huu .
 
Msichana wa Iran anafia kwenye mikono ya police kisa vazi la Hijab,nchi nzima inasimama, Mv Bukoba inaua watu wengi tu kizembe ,mazuzu wanakimbilia kuandamana na key boards ndani ya JF, nchi &viongozi hawajifunzi chochote ili next time ajali ikitokea tuwe tayari kukabiliana nayo, Leo ndege inaanguka na kuuwa watanzania wengi tu, few meters kutoka nchi kavu, PM ndio kwanza anawaza mazishi!,uzuri siyo yule PM aliyeichukua nchi in confidence kuwa president yupo na afya tele kumbe yupo ICU
 
Natamani kutema nyongo ila ninakumbuka Kuna ihi adhabu naishia kufuta.....
20221104_230742.jpg
 
Back
Top Bottom