Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,396
Nadhani kuna tofauti kati ya tamko na tahadhari!
Ni kawaida ya balozi nyingi kutoa tahadhari kwa raia wake kwa masuala mbali mbali lakini walichokuwa wanakifanya ni kutoa matamko mpaka ya kiswahili kuhusu Corona nchini.
Ukijiuliza matamko ya kiswahili kuhusu Corona yalikuwa yanamlenga nani au kupeleka ujumbe kwa nani?
Tatizo alikuwa ni yule kaimu balozi ambae alikuwa busy na hao wanaojiita wanaharakati.
Unapochunguza tatizo ni nini na unapoligundua unatafuta tiba.
Yule mwanamke akaitwa Foreign na akaambiwa achague aendelee kuheshimu mkataba wa Vienna au la arudi kwao.
Naona anachagua kurudi kwao.
Tanzania kuna watu wanadhani ni ile ya miaka ya 47 lakini si Tanzania ya leo nayo ina CIA ya kitanzania na yaendeshwa kwa Tanzania style.
Ni mtazamo wangu tu.