Yale Mabilion tuwekeze kwenye soka la vijana

Xharp

Member
Sep 13, 2018
48
44
Kuna umuhimu kwa soka letu kuanza kuangalia generation nyingne kwa ajir ya kombe la dunia 2026 hawa akina Boko, Nyoni, Msuva Samata ni 30+ timu yetu ina malijend weng tuanze kuwapunguza,hzo pesa zlzochangishwa ni vema kuangalia namna gan znaweza kuleta maendeleo endelevu ya soka letu
 
Hizo tayari zishaliwa na hao waliojuu hata kabla mechi haijaanza
 
Watu wanataka wale matunda bila hata kusaidia na kushiriki kupanda Miche au mbegu...
 
Kuna umhimu kwa soka letu kuanza kuangalia generation nyingne kwa ajir ya kombe la dunia 2026 hawa akina Boko,Nyoni,Msuva Samata ni 30+ timu yetu ina malijend weng tuanze kuwapunguza,hzo pesa zlzochangishwa ni vema kuangalia namna gan znaweza kuleta maendeleo endelevu ya soka letu
Nashauri ule mzigo tupewe tukapige bia, bia tamu
 
Back
Top Bottom