Kuna umuhimu kwa soka letu kuanza kuangalia generation nyingne kwa ajir ya kombe la dunia 2026 hawa akina Boko, Nyoni, Msuva Samata ni 30+ timu yetu ina malijend weng tuanze kuwapunguza,hzo pesa zlzochangishwa ni vema kuangalia namna gan znaweza kuleta maendeleo endelevu ya soka letu