Yajue mambo 10 yanayofanywa na wanaume lakini huwakera sana wanawake wengi

1. Kutokiri makosa
2. Kutoa hewa chafu hadharani
3. Kumuangalia mwananke mwingine
4. Kukoroma usingizini
5. Kukataa kufanya kazi zaid ya moja
6. Kutomfanyia vitu vya kumshangaza
7.Kutomsikiliza mwanamke
8. Kuangalia mpira/michezo
9. Kutofanya kazi za nyumbani
10. Kuhodhi rimoti ya TV

Source: BBC

Yawezakuwa anachukia moja au zaidi ya moja, lkn lilio muhimu zaidi kwa hawa viumbe akili ya ziada inahitajika katika kuishi nao.

Kwa upande wako wewe;
(Ke) Kipi unachukia?
(Me) Kipi unamchukiza nacho?
 
Mm tatizo ni kukoroma usiku, nani anajua dawa ya kutibu hii?
 
Wanawake PIA hukerwa na mwanaume ambaye

1. sehemu zake za siri kazigeuza mali ya umma, kila shimo zinaingia
2. Mbahili asiyetoa hela....
2. Asiyejali hisia
4. Asiokuheshimu wewe na watu wa nyumbani kwako!!
 
Hii tabia ya hovyo yakuamini kila kinachosemwa ama na BBC au utasikia tafiti za Chuo cha Marekani nao ni ujinga mpya wa kizazi cha hawa vijana wa hovyo
 
1. Kutokiri makosa
2. Kutoa hewa chafu hadharani
3. Kumuangalia mwananke mwingine
4. Kukoroma usingizini
5. Kukataa kufanya kazi zaid ya moja
6. Kutomfanyia vitu vya kumshangaza
7.Kutomsikiliza mwanamke
8. Kuangalia mpira/michezo
9. Kutofanya kazi za nyumbani
10. Kuhodhi rimoti ya TV

Source: BBC

Yawezakuwa anachukia moja au zaidi ya moja, lkn lilio muhimu zaidi kwa hawa viumbe akili ya ziada inahitajika katika kuishi nao.

Kwa upande wako wewe;
(Ke) Kipi unachukia?
(Me) Kipi unamchukiza nacho?
Uko vizuri sana sana

Ukweli mtupu
 
Kuna jamaa alisema yeye anatumia akili ili kutafuta maisha sio kwa ajili ya kuitumia kwenye kuishi na mtu mzima mwenye mavvuzi hd mattakon!!hahaha ni matumizi mabaya ya akili
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
1. Kutokiri makosa
2. Kutoa hewa chafu hadharani
3. Kumuangalia mwananke mwingine
4. Kukoroma usingizini
5. Kukataa kufanya kazi zaid ya moja
6. Kutomfanyia vitu vya kumshangaza
7.Kutomsikiliza mwanamke
8. Kuangalia mpira/michezo
9. Kutofanya kazi za nyumbani
10. Kuhodhi rimoti ya TV

Source: BBC

Yawezakuwa anachukia moja au zaidi ya moja, lkn lilio muhimu zaidi kwa hawa viumbe akili ya ziada inahitajika katika kuishi nao.

Kwa upande wako wewe;
(Ke) Kipi unachukia?
(Me) Kipi unamchukiza nacho?
HIyo ya utatu ni ubinafsi tuu....sasa mwanamke mzuri amepita nisimuangalie kwani mzuri upo peke yako.
Nilishakuweka wewe kama wangu presha ya nini?
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom