Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5, Top 3 na Hatimaye Mgombea wa CCM!

Pasco Nimegundua hii trend CCM naona hakuna aliewahi kuizungumza

Rais wa CCM huwa anashindwa kuweka chaguo lake kumrithi
lakini huja kupata chaguo lake baada ya mrithi kumaliza mda wake
tazama.....Mkapa alikua chaguo la Nyerere
Kikwete alikua chaguo la Mwinyi
now Magufuli tunaweza sema ni chaguo la Mkapa.....
Uliona mbali The Boss
 





Huyu jamaa akipita na ikitokea aka
wa ni just a benevolent dictator, then it is very fine kwa sababu atatusaidia sana, ila pia dictator ni dictator tuu, anaweza kuwa a benevolent dictator, au pia anaweza kuwa a cruel type of a dictator kama alivyokua Hitler!, ikitokea akawa ni wa the Hitler type, hawa waimba "sasa kazi tuu" wataona kazi kweli kweli na siku zote majuto huwa ni mjukuu!.

Nalisema hili mapema ili wenye kumbukumbu waliingize kwenye kumbukumbu zao kabla halijatokea, ili likija kutokea, tuwe tumeyataka wenyewe!.

Pasco
Limetokea
 
Wanabodi,

Watia nia wa CCM wamefikia 42, naomba tuwagawe kwenye makundi 10 ya Top Ten, ambapo makundi matano ya mwanzo ni determinant .Wagombea watakaojirudia rudia kwenye listi 5 za mwanzo, ndio zitatoa 5 bora watakaotoa 3 bora na hatimaye Mgombea wa CCM.

Makundi matano ya pili ni infor pack tuu sio determinant but pasuasive mfano kwenye kundi la most popula ndio electability yenyewe na kundi la the worst dictators, then mnaweza kujua kwa nini watu wazuri tuu lakini hawatachaguliwa!.


Makundi hayo ni
  1. The Top Ten Most Powerful wanao command much powers.
  2. The Top Ten Most Prominent kutokana na positions zao
  3. The Top Ten Most Respected kutoka na Utendaji uliotukuka na Usio na Mawaa
  4. The Top Ten Zanzibar Factor
  5. The Top Ten Gender Factor
  6. The Top Ten Presidential Materials
  7. The Top Ten Most Popular who can make a populist president
  8. The Top Ten who can make the worst dictators
  9. The Top Ten Walioupania sana urais.
  10. The Top Ten Waliotangaza nia ili kujitambulisha tuu wapo ili angalau nao wakumbukwe
Kwenye makundi haya pia yapo makundi ya
  1. Top Ten waliotangaza nia ili kujifurahisha tuu, sio presidential material na urais hawauwezi!
  2. Top Ten wasindikiza tuu, wametangaza nia ili kusindikiza watu tuu
  3. Top Ten ya jokers, hawa ni waliotangaza nia ku joke tuu lakini hawana seriousness yoyote na urais
  4. Top Ten ya zilipendwa, hawa ni watangaza nia walioshastaafu, wamechoka mwili, mawazo hadi akili.
  5. Top ten ya Madekio, Madodoki na Vichinjio (Ref: Utitiri wa watangaza nia CCM,)
Makundi haya matano ya mwisho, sitawataja majina

Watangaza Nia Wote ni Hawa



  1. Mhe. Edward Ngoyai Lowasa
  2. Mhe. Dr. Mohamed Gharib Bilal
  3. Mhe. Mizengo Kayanda Pinda
  4. Mhe. Dr Asharose Migiro
  5. Judg. Augustine Ramadhani
  6. Dr. Augustine Philip Mahiga
  7. Mhe. Bernard Kamilius Membe
  8. Mhe. Prof. Mark Mwandosya
  9. Mhe. Prof. Sospeter Muhongo
  10. Mhe. Samwel John Sitta
  11. Mhe. John Pombe Magufuli
  12. Mhe. January Yusufu Makamba
  13. Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba
  14. Mhe. Stephen Masatu Wassira
  15. Mhe. Lazaro Samuel Nyalandu
  16. Mhe. Mathias M Chikawe
  17. Mhe. Titus Mlengela Kamani
  18. Mhe. Dr. Hamisi Andrea Kigwangala
  19. Fredrick Tluway Sumaye
  20. Hassy Besen Kitine
  21. Mhe. Luhaga Joelson Mpina
  22. Mhe. Charles Makongoro Nyerere
  23. Balozi Amina Salum Ali
  24. Balozi Ali Karume
  25. Dr. Mwelecele Ntuli Malecela
  26. Dr Muzzamil Mussa Kalokola
  27. Monica Ngenzi Mbega
  28. Amos Robert Siyatemi
  29. Musa Godwin Mwapango
  30. Peter Isaiah Nyalali
  31. Boniface Thomas Ndengo
  32. Maliki Salum Marupu
  33. Leonce Nicholas Mulenda
  34. Lidephonce M Bilohe
  35. Veronica Kazimoto
  36. Anthony Chalamila
  37. Hellen Elinawinga
  38. Nicholas Mulenda
  39. Banda Sonoko
  40. Ritha Ngowi
  41. Malick Malupu
  42. Joseph Chagama
Kundi la 1: The Top Ten Most Powerful wanao command much powers.

  1. Mhe. Edward Ngoyai Lowasa
  2. Mhe. Bernard Kamilius Membe
  3. Mhe. Mizengo Kayanda Pinda
  4. Mhe. Dr. John Pombe Magufuli
  5. Mhe. Prof. Mark Mwandosya
  6. Mhe. Prof. Sospeter Muhongo
  7. Mhe. Samwel John Sitta
  8. Mhe. Dr. Mohamed Gharib Bilal
  9. Mhe. Dr Asharose Migiro
  10. Judg. Augustine Ramadhani
Kundi la 2: The Top Ten Most Prominent kutokana na positions zao za sasa na previous
  1. Mhe. Dr. Mohamed Gharib Bilal
  2. Mhe. Mizengo Kayanda Pinda
  3. Mhe. Bernard Kamilius Membe
  4. Mhe. Edward Ngoyai Lowasa
  5. Fredrick Tluway Sumaye
  6. Mhe. Dr Asharose Migiro
  7. Judg. Augustine Ramadhani
  8. Mhe. Prof. Mark Mwandosya
  9. Mhe. Samwel John Sitta
  10. Mhe. John Pombe Magufuli
Kundi la 3: The Top Ten Most Respected kutokana na Utendaji uliotukuka na Usio na Mawaa
  1. Mhe. Dr. Mohamed Gharib Bilal
  2. Mhe. Mizengo Kayanda Pinda
  3. Fredrick Tluway Sumaye
  4. Judg. Augustine Ramadhani
  5. Dr. Augustine Philip Mahiga
  6. Mhe. Bernard Kamilius Membe
  7. Mhe. Prof. Mark Mwandosya
  8. Mhe. Samwel John Sitta
  9. Mhe. John Pombe Magufuli
Kundi la 4: The Top Ten Zanzibar Factor
  1. Mhe. Dr. Mohamed Gharib Bilal
  2. Judg. Augustine Ramadhani
  3. Balozi Amina Salum Ali
  4. Balozi Ali Karume
Kundi la 5: The Top Ten Gender Factor
  1. Mhe. Dr Asharose Migiro
  2. Balozi Amina Salum Ali
  3. Monica Ngenzi Mbega
Hayo ndio makundi determinant ya top 5 ya Mgombea Urais wa CCM.

Kundi la 6:The Top Ten Presidential Materials
Ila pia sio vibaya ukawajua the top ten presidential materials who can make the best president, this county can have. Hii maana yake atakayeteuliwa na CCM sio lazima awe the best presidential materials

  1. Mhe. Edward Ngoyai Lowasa
  2. Judg. Augustine Ramadhani
  3. Dr. Augustine Philip Mahiga
  4. Mhe. Prof. Mark Mwandosya
  5. Mhe. Prof. Sospeter Muhongo
  6. Mhe. John Pombe Magufuli
  7. Mhe. January Yusufu Makamba
  8. Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba
  9. Dr. Hassy Besen Kitine
  10. Dr. Mwelecele Ntuli Malecela
Kundi la 7: The Top Ten Most Popular who can make a populist president
  1. Mhe. Edward Ngoyai Lowasa
  2. Mhe. Bernard Kamilius Membe
  3. Mhe. John Pombe Magufuli
  4. Mhe. January Yusufu Makamba
  5. Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba
  6. Mhe. Lazaro Samuel Nyalandu
  7. Mhe. Dr. Hamisi Andrea Kigwangala
  8. Mhe. Charles Makongoro Nyerere
  9. Balozi Ali Karume
  10. Dr Muzzamil Mussa Kalokola
Kundi la 8: The Top Ten who can make the worst dictators

  1. Mhe. Prof. Sospeter Muhongo
  2. Mhe. John Pombe Magufuli
  3. Hassy Besen Kitine
  4. Balozi Ali Karume
  5. Dr. Augustine Philip Mahiga
  6. Mhe. Titus Mlengela Kamani
  7. Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba
  8. Mhe. Stephen Masatu Wassira
  9. Mhe. Samwel John Sitta
  10. Mhe. Edward Ngoyai Lowasa
Kundi la 9: The Top Ten Walioupania sana urai
  1. Mhe. Bernard Kamilius Membe
  2. Mhe. Edward Ngoyai Lowasa
  3. Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba
  4. Mhe. Prof. Sospeter Muhongo
  5. Mhe. Samwel John Sitta
  6. Mhe. January Yusufu Makamba
  7. Mhe. Stephen Masatu Wassira
  8. Fredrick Tluway Sumaye
  9. Mhe. Charles Makongoro Nyerere
  10. Balozi Ali Karume
Kundi la 10:The Top Ten Waliotangaza nia ili kujitambulisha tuu wapo ili angalau nao wakumbukwe
  1. Hassy Besen Kitine
  2. Dr. Mwelecele Ntuli Malecela
  3. Dr Muzzamil Mussa Kalokola
  4. Amos Robert Siyatemi
  5. Musa Godwin Mwapango
  6. Peter Isaiah Nyalali
  7. Boniface Thomas Ndengo
  8. Maliki Salum Marupu
  9. Leonce Nicholas Mulenda
  10. Lidephonce M Biloha
NB. Hii ni list yangu, unaweza kutengeneza list yako, naomba mnisamehe kidogo niko bize kwenye Wiki ya Utumishi wa Umma viwanja vya Mnazi Mmoja, hivyo sitaweza kujibu hoja yoyote!.

Paskali
wanaomsfia Magu
Sijui alifikaje mpk kuwa rais

Ila basi Mungu fundi
Mkuu nditolo , kwa vile hujui alifikaje, karibu mitaa hii kujielimisha
P
 
Wanabodi,

Watia nia wa CCM wamefikia 42, naomba tuwagawe kwenye makundi 10 ya Top Ten, ambapo makundi matano ya mwanzo ni determinant .Wagombea watakaojirudia rudia kwenye listi 5 za mwanzo, ndio zitatoa 5 bora watakaotoa 3 bora na hatimaye Mgombea wa CCM.

Kundi la 8: The Top Ten who can make the worst dictators

  1. Mhe. Prof. Sospeter Muhongo
  2. Mhe. John Pombe Magufuli
  3. Hassy Besen Kitine
  4. Balozi Ali Karume
  5. Dr. Augustine Philip Mahiga
  6. Mhe. Titus Mlengela Kamani
  7. Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba
  8. Mhe. Stephen Masatu Wassira
  9. Mhe. Samwel John Sitta
  10. Mhe. Edward Ngoyai Lowasa
NB. Hii ni list yangu, unaweza kutengeneza list yako, naomba mnisamehe kidogo niko bize kwenye Wiki ya Utumishi wa Umma viwanja vya Mnazi Mmoja, hivyo sitaweza kujibu hoja yoyote!.

Paskali
Leo Machi 17 ambayo ni Magufuli Day, nadurusu baadhi ya mabandiko yangu humu kumhusu JPM huku nikitafakari, if I was right or I was wrong.
Kwa vile kila zama na zama zake, Pumzika kwa Amani Magufuli wetu huko ulipo.
RIP JPM
Paskali.
 
Leo Machi 17 ambayo ni Magufuli Day, nadurusu baadhi ya mabandiko yangu humu kumhusu JPM huku nikitafakari, if I was right or I was wrong.
Kwa vile kila zama na zama zake, Pumzika kwa Amani Magufuli wetu huko ulipo.
RIP JPM
Paskali.
Una jicho kali sana yaani 100% ulipatia.
 
Wanabodi,

Watia nia wa CCM wamefikia 42, naomba tuwagawe kwenye makundi 10 ya Top Ten, ambapo makundi matano ya mwanzo ni determinant .Wagombea watakaojirudia rudia kwenye listi 5 za mwanzo, ndio zitatoa 5 bora watakaotoa 3 bora na hatimaye Mgombea wa CCM.

Makundi matano ya pili ni infor pack tuu sio determinant but pasuasive mfano kwenye kundi la most popula ndio electability yenyewe na kundi la the worst dictators, then mnaweza kujua kwa nini watu wazuri tuu lakini hawatachaguliwa!.

Makundi hayo ni
  1. The Top Ten Most Powerful wanao command much powers.
  2. The Top Ten Most Prominent kutokana na positions zao
  3. The Top Ten Most Respected kutoka na Utendaji uliotukuka na Usio na Mawaa
  4. The Top Ten Zanzibar Factor
  5. The Top Ten Gender Factor
  6. The Top Ten Presidential Materials
  7. The Top Ten Most Popular who can make a populist president
  8. The Top Ten who can make the worst dictators
  9. The Top Ten Walioupania sana urais.
  10. The Top Ten Waliotangaza nia ili kujitambulisha tuu wapo ili angalau nao wakumbukwe
Kwenye makundi haya pia yapo makundi ya
  1. Top Ten waliotangaza nia ili kujifurahisha tuu, sio presidential material na urais hawauwezi!
  2. Top Ten wasindikiza tuu, wametangaza nia ili kusindikiza watu tuu
  3. Top Ten ya jokers, hawa ni waliotangaza nia ku joke tuu lakini hawana seriousness yoyote na urais
  4. Top Ten ya zilipendwa, hawa ni watangaza nia walioshastaafu, wamechoka mwili, mawazo hadi akili.
  5. Top ten ya Madekio, Madodoki na Vichinjio (Ref: Utitiri wa watangaza nia CCM,)
Makundi haya matano ya mwisho, sitawataja majina

Watangaza Nia Wote ni Hawa



  1. Mhe. Edward Ngoyai Lowasa
  2. Mhe. Dr. Mohamed Gharib Bilal
  3. Mhe. Mizengo Kayanda Pinda
  4. Mhe. Dr Asharose Migiro
  5. Judg. Augustine Ramadhani
  6. Dr. Augustine Philip Mahiga
  7. Mhe. Bernard Kamilius Membe
  8. Mhe. Prof. Mark Mwandosya
  9. Mhe. Prof. Sospeter Muhongo
  10. Mhe. Samwel John Sitta
  11. Mhe. John Pombe Magufuli
  12. Mhe. January Yusufu Makamba
  13. Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba
  14. Mhe. Stephen Masatu Wassira
  15. Mhe. Lazaro Samuel Nyalandu
  16. Mhe. Mathias M Chikawe
  17. Mhe. Titus Mlengela Kamani
  18. Mhe. Dr. Hamisi Andrea Kigwangala
  19. Fredrick Tluway Sumaye
  20. Hassy Besen Kitine
  21. Mhe. Luhaga Joelson Mpina
  22. Mhe. Charles Makongoro Nyerere
  23. Balozi Amina Salum Ali
  24. Balozi Ali Karume
  25. Dr. Mwelecele Ntuli Malecela
  26. Dr Muzzamil Mussa Kalokola
  27. Monica Ngenzi Mbega
  28. Amos Robert Siyatemi
  29. Musa Godwin Mwapango
  30. Peter Isaiah Nyalali
  31. Boniface Thomas Ndengo
  32. Maliki Salum Marupu
  33. Leonce Nicholas Mulenda
  34. Lidephonce M Bilohe
  35. Veronica Kazimoto
  36. Anthony Chalamila
  37. Hellen Elinawinga
  38. Nicholas Mulenda
  39. Banda Sonoko
  40. Ritha Ngowi
  41. Malick Malupu
  42. Joseph Chagama
Kundi la 1: The Top Ten Most Powerful wanao command much powers.

  1. Mhe. Edward Ngoyai Lowasa
  2. Mhe. Bernard Kamilius Membe
  3. Mhe. Mizengo Kayanda Pinda
  4. Mhe. Dr. John Pombe Magufuli
  5. Mhe. Prof. Mark Mwandosya
  6. Mhe. Prof. Sospeter Muhongo
  7. Mhe. Samwel John Sitta
  8. Mhe. Dr. Mohamed Gharib Bilal
  9. Mhe. Dr Asharose Migiro
  10. Judg. Augustine Ramadhani
Kundi la 2: The Top Ten Most Prominent kutokana na positions zao za sasa na previous
  1. Mhe. Dr. Mohamed Gharib Bilal
  2. Mhe. Mizengo Kayanda Pinda
  3. Mhe. Bernard Kamilius Membe
  4. Mhe. Edward Ngoyai Lowasa
  5. Fredrick Tluway Sumaye
  6. Mhe. Dr Asharose Migiro
  7. Judg. Augustine Ramadhani
  8. Mhe. Prof. Mark Mwandosya
  9. Mhe. Samwel John Sitta
  10. Mhe. John Pombe Magufuli
Kundi la 3: The Top Ten Most Respected kutokana na Utendaji uliotukuka na Usio na Mawaa
  1. Mhe. Dr. Mohamed Gharib Bilal
  2. Mhe. Mizengo Kayanda Pinda
  3. Fredrick Tluway Sumaye
  4. Judg. Augustine Ramadhani
  5. Dr. Augustine Philip Mahiga
  6. Mhe. Bernard Kamilius Membe
  7. Mhe. Prof. Mark Mwandosya
  8. Mhe. Samwel John Sitta
  9. Mhe. John Pombe Magufuli
Kundi la 4: The Top Ten Zanzibar Factor
  1. Mhe. Dr. Mohamed Gharib Bilal
  2. Judg. Augustine Ramadhani
  3. Balozi Amina Salum Ali
  4. Balozi Ali Karume
Kundi la 5: The Top Ten Gender Factor
  1. Mhe. Dr Asharose Migiro
  2. Balozi Amina Salum Ali
  3. Monica Ngenzi Mbega
Hayo ndio makundi determinant ya top 5 ya Mgombea Urais wa CCM.

Kundi la 6:The Top Ten Presidential Materials
Ila pia sio vibaya ukawajua the top ten presidential materials who can make the best president, this county can have. Hii maana yake atakayeteuliwa na CCM sio lazima awe the best presidential materials

  1. Mhe. Edward Ngoyai Lowasa
  2. Judg. Augustine Ramadhani
  3. Dr. Augustine Philip Mahiga
  4. Mhe. Prof. Mark Mwandosya
  5. Mhe. Prof. Sospeter Muhongo
  6. Mhe. John Pombe Magufuli
  7. Mhe. January Yusufu Makamba
  8. Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba
  9. Dr. Hassy Besen Kitine
  10. Dr. Mwelecele Ntuli Malecela
Kundi la 7: The Top Ten Most Popular who can make a populist president
  1. Mhe. Edward Ngoyai Lowasa
  2. Mhe. Bernard Kamilius Membe
  3. Mhe. John Pombe Magufuli
  4. Mhe. January Yusufu Makamba
  5. Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba
  6. Mhe. Lazaro Samuel Nyalandu
  7. Mhe. Dr. Hamisi Andrea Kigwangala
  8. Mhe. Charles Makongoro Nyerere
  9. Balozi Ali Karume
  10. Dr Muzzamil Mussa Kalokola
Kundi la 8: The Top Ten who can make the worst dictators

  1. Mhe. Prof. Sospeter Muhongo
  2. Mhe. John Pombe Magufuli
  3. Hassy Besen Kitine
  4. Balozi Ali Karume
  5. Dr. Augustine Philip Mahiga
  6. Mhe. Titus Mlengela Kamani
  7. Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba
  8. Mhe. Stephen Masatu Wassira
  9. Mhe. Samwel John Sitta
  10. Mhe. Edward Ngoyai Lowasa
Kundi la 9: The Top Ten Walioupania sana urai
  1. Mhe. Bernard Kamilius Membe
  2. Mhe. Edward Ngoyai Lowasa
  3. Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba
  4. Mhe. Prof. Sospeter Muhongo
  5. Mhe. Samwel John Sitta
  6. Mhe. January Yusufu Makamba
  7. Mhe. Stephen Masatu Wassira
  8. Fredrick Tluway Sumaye
  9. Mhe. Charles Makongoro Nyerere
  10. Balozi Ali Karume
Kundi la 10:The Top Ten Waliotangaza nia ili kujitambulisha tuu wapo ili angalau nao wakumbukwe
  1. Hassy Besen Kitine
  2. Dr. Mwelecele Ntuli Malecela
  3. Dr Muzzamil Mussa Kalokola
  4. Amos Robert Siyatemi
  5. Musa Godwin Mwapango
  6. Peter Isaiah Nyalali
  7. Boniface Thomas Ndengo
  8. Maliki Salum Marupu
  9. Leonce Nicholas Mulenda
  10. Lidephonce M Biloha
NB. Hii ni list yangu, unaweza kutengeneza list yako, naomba mnisamehe kidogo niko bize kwenye Wiki ya Utumishi wa Umma viwanja vya Mnazi Mmoja, hivyo sitaweza kujibu hoja yoyote!.

Paskali

Poleni
 
Tungekuwa na very strong media houses, Paskali alitakiwa awe anafanya hizi analysis kwa TV na YouTube kama backup.

Hiyo session ingebamba sana
 
Pascal vipi ule utabiri wa makonda anafaa kuwa raisi uliota mchana au ilikuwa usiku
 
Back
Top Bottom