Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
- Thread starter
- #121
Hili tuliliona zamani,Mhe John Magufuli ameonyesha dhahiri kuwa mtu asiye zingatia haki za binadamu, asiyekuwa na huruma na wananchi hususan wananchi maskini na wanyonge. Kwa hali
Kila mara dunia inapotaka kuwaweka madarakani watu wenye silika za kutozingatia haki za binadamu tunapaswa kukumbuka kuwa hata Dikteta anayeongoza hap duniani Adolph Hitler wa Ujerumani aliingia madarakani kupitia sanduku la kura, na hatimaye watu milioni 50 duniani walipoteza maisha..
P.
Makundi hayo ni
Kundi la 7: The Top Ten Most Popular who can make a populist president
- The Top Ten Most Popular who can make a populist president
- The Top Ten who can make the worst dictators
Kundi la 8: The Top Ten who can make the worst dictators
- Mhe. John Pombe Magufuli
Pasco
- Mhe. Prof. Sospeter Muhongo
- Mhe. John Pombe Magufuli
[/QUOTE]
Najikumbusha tuu!.
P.