Yajue makao makuu ya mashirika makubwa ya kijasusi duniani

sijaamua kuwa mbishi. ila details zilizopo zinapingana na states zako.

mmoja anafanya espionage ndani ya mipaka mwingine nje ya mipaka? how?

first of all nadhani hufahamu majukumu ya NSA na roles zake. NSA sio espionage agency kama CIA.
wanafanya information gathering through communication, ikiwemo kuchuja mails, kuchuja txt kusikiliza mawasiliano ya simu .. waki detect anything suspicious wana handle over to responsible agency kufanyiwa kazi.

hawa jamaa wana monitor all communication in and out of america. hawa sio field operatives kama CIA.
and hawana mipaka. wana collect information in and out of america. including zile nchi wanazohisi ni threat to america.

FBI ndio wana role ya counter intelligence ndani ya nchi.
CIA is more of outside intelligence and counterintelligence.
Asante kwa ufafanuzi
 
1613497869507.png


Makao makuu ya MI6 - UK
 
Umefafanua vizuri sana
CIA, Central Intelligence Agency hii inahusika sana na usalama wa taifa la Marekani hususani rais.

FBI, Federal Bureau of investigation hii inahusika na uchunguzi sana wa matukio yanayotekea ndani ya Marekani.

SWAT, Special weapons and tactics hii hutumika kwenye matukio yanayohusu vitisho vya magaidi na matukio makubwa ambayo yanazidi polisi wa kawaida wa Marekani.

Bonus
DEA, Drug enforcement administration inahusika na kupambana na madawa ya kulevya ndani na nje ya Marekani
 
Back
Top Bottom