Yajue makao makuu ya mashirika makubwa ya kijasusi duniani

Hapana. Huwezi kilinganisha SWAT na FFU jamani. SWAT ni wa kiwango cha juu sana. SPECIAL WEAPONS AND TACTICTS. Hawa kazi yao sio kupiga hovyo.
nadhani ww unaongelea in descpline zaidi.
mm niko professional wise..
ndani ya FFU kuna CRT ..ama crisis response team. Ndani ya FFU kuna vikosi vya kutuliza vurugu.

but all F.F.U ni police tactical unit kama ilivyo SWAT. difference ni mafunzo ,difference ni vifaa.. lakin kazi ni moja.
 
nadhani hujanisoma vizuri. hakuna mahali nimeandika CIA pacha ake ni FBI.

CIA pacha wake si NSA. NSA ni shirika linalokusanya taarifa za kiusalama kupitia kwenye mawasiliano,mitandao.
wana collect , process na ku analyze data kutoka sehemu mbali mbali. na wanafanya kwa ku monitor mawasiliano.

CIA ni more of espionage organization.
pacha wa CIA ni DIA ama defence intelligence agency.
kazi yao imefanana sana na CIA isipokuwa wao wana responsible to military zaidi.

kwa kuongezea pacha wa NSA ni GHCQ ya UK.
Bado hutaelewa

Umeamua kuwa mbishi

Nakumbiaje

Wanachofanya NSA na CIA Ni kimoja sema tofauti yao ni mipaka ya kazi

Mmoja anafanga espionage nje ya mipaka ya nje

Mwingine ndani ya mipaka ya nchi Ila wote wakafanya espionage and the like

Baki na ubishi wako

Kwaheri
 
Bado hutaelewa

Umeamua kuwa mbishi

Nakumbiaje

Wanachofanya NSA na CIA Ni kimoja sema tofauti yao ni mipaka ya kazi

Mmoja anafanga espionage nje ya mipaka ya nje

Mwingine ndani ya mipaka ya nchi Ila wote wakafanya espionage and the like

Baki na ubishi wako

Kwaheri
Mkuu NSA na CIA wote wanafanya ujsasusi lakini wako tofauti sana.

NSA wao ni Signal Intelligence tu na wako chini Pentagon.

CIA focus yao kubwa ni Human Intelligence na wanajitegemea.

Ingawa wote hawaruhusiwi kufanya espionage ndani ya US.

Plus... mkuu wa NSA siku zote ni mwanajeshi, wakati CIA anaweza kuwa a non military person.
 
Hapo kwenye CIA na FBI umeingia Chaka .

CIA Pacha wake Ni NSA sio FBI


FBI wanahusika ma upelelezi wa makosa ya Jinai na mengineyo.ila sio ujasusi
FBI wana kazi pia ya intelligence... especially Counter Intelligence

1613408641450.png
 
Bado hutaelewa

Umeamua kuwa mbishi

Nakumbiaje

Wanachofanya NSA na CIA Ni kimoja sema tofauti yao ni mipaka ya kazi

Mmoja anafanga espionage nje ya mipaka ya nje

Mwingine ndani ya mipaka ya nchi Ila wote wakafanya espionage and the like

Baki na ubishi wako

Kwaheri
sijaamua kuwa mbishi. ila details zilizopo zinapingana na states zako.

mmoja anafanya espionage ndani ya mipaka mwingine nje ya mipaka? how?

first of all nadhani hufahamu majukumu ya NSA na roles zake. NSA sio espionage agency kama CIA.
wanafanya information gathering through communication, ikiwemo kuchuja mails, kuchuja txt kusikiliza mawasiliano ya simu .. waki detect anything suspicious wana handle over to responsible agency kufanyiwa kazi.

hawa jamaa wana monitor all communication in and out of america. hawa sio field operatives kama CIA.
and hawana mipaka. wana collect information in and out of america. including zile nchi wanazohisi ni threat to america.

FBI ndio wana role ya counter intelligence ndani ya nchi.
CIA is more of outside intelligence and counterintelligence.
 
Hapana. Huwezi kilinganisha SWAT na FFU jamani. SWAT ni wa kiwango cha juu sana. SPECIAL WEAPONS AND TACTICTS. Hawa kazi yao sio kupiga hovyo.
FFU ni kikosi cha kisiasa cha ccm!

SWAT ni professional police unit.

Kwa kweli kuwalinganisha ni matusi. Tuwe tu wawazi katika hili.
 
Yafuatayo ni makao makuu ya baadhi ya mashirika makubwa ya kijasusi duniani. Nchi hizi zina sera za uwazi juu ya hizi Mambo kwa hapa kwetu nadhani Mambo haya ni Siri ndio maana nimeepuka makusudi kuyataja ili pia yasikonflict na sheria za jamiiforums.

1. CIA HQ ipo Langley Virginia na jengo lake limepewa jina la George Bush center for intelligence.

2. FSB HQ la urusi lipo mtaa wa lubyanka na jengo linaitwa lubyanka Moscow.

3. MI6 HQ la uingereza lipo vauxhall cross bridge pembeni ya mto thames.

4. Mossad HQ ipo Jerusalem karibu na mtaa ambapo pia ndio makao makuu ya makazi ya waziri mkuu was Israel. Mtaa wa Beit Aghion.

5. BND kirefu chake ni Bundesnachrichtendienst lipo Berlin. Pia ndio shirika la ujasusi lenye majengo mengi kuliko yote duniani.

Waweza ongezea uyajuayo.
TISS-Tanzania Intelligence Security Services wapo Kijitonyama
 
Yafuatayo ni makao makuu ya baadhi ya mashirika makubwa ya kijasusi duniani. Nchi hizi zina sera za uwazi juu ya hizi Mambo kwa hapa kwetu nadhani Mambo haya ni Siri ndio maana nimeepuka makusudi kuyataja ili pia yasikonflict na sheria za jamiiforums.

1. CIA HQ ipo Langley Virginia na jengo lake limepewa jina la George Bush center for intelligence.

2. FSB HQ la urusi lipo mtaa wa lubyanka na jengo linaitwa lubyanka Moscow.

3. MI6 HQ la uingereza lipo vauxhall cross bridge pembeni ya mto thames.

4. Mossad HQ ipo Jerusalem karibu na mtaa ambapo pia ndio makao makuu ya makazi ya waziri mkuu was Israel. Mtaa wa Beit Aghion.

5. BND kirefu chake ni Bundesnachrichtendienst lipo Berlin. Pia ndio shirika la ujasusi lenye majengo mengi kuliko yote duniani.

Waweza ongezea uyajuayo.
Itakusaidia nini?
 
Napenda kujua tofaut Kati Ya CIA, FBI na SWAT
CIA ni Central Intelligence Agency, inafanya kzi ndani ya marekani na Ulimwengu mzima.

FBI ni Federal Bureau of Investigation, hii inafanya kazi ndani ya mipaka ya marekani tuu

S.W.A.T ni Special Weapons And Tactics
Hii ni kikosi kazi maalumu, yenye mafunzo maalumu, ambao haww wanapewa kazi maalumu ya kupambana na magaidi walioshindikana
 
Mkuu NSA na CIA wote wanafanya ujsasusi lakini wako tofauti sana.

NSA wao ni Signal Intelligence tu na wako chini Pentagon.

CIA focus yao kubwa ni Human Intelligence na wanajitegemea.

Ingawa wote hawaruhusiwi kufanya espionage ndani ya US.

Plus... mkuu wa NSA siku zote ni mwanajeshi, wakati CIA anaweza kuwa a non military person.
Mi sijabisha

Jamaa hapo anasema NSA Ni collective ya CIA,FBI mashrika mengine.
 
Back
Top Bottom