Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Yafuatayo ni makao makuu ya baadhi ya mashirika makubwa ya kijasusi duniani. Nchi hizi zina sera za uwazi juu ya hizi Mambo kwa hapa kwetu nadhani Mambo haya ni Siri ndio maana nimeepuka makusudi kuyataja ili pia yasikonflict na sheria za jamiiforums.
1. CIA HQ ipo Langley Virginia na jengo lake limepewa jina la George Bush center for intelligence.
2. FSB HQ la urusi lipo mtaa wa lubyanka na jengo linaitwa lubyanka Moscow.
3. MI6 HQ la uingereza lipo vauxhall cross bridge pembeni ya mto thames.
4. Mossad HQ ipo Jerusalem karibu na mtaa ambapo pia ndio makao makuu ya makazi ya waziri mkuu was Israel. Mtaa wa Beit Aghion.
5. BND kirefu chake ni Bundesnachrichtendienst lipo Berlin. Pia ndio shirika la ujasusi lenye majengo mengi kuliko yote duniani.
Waweza ongezea uyajuayo.
1. CIA HQ ipo Langley Virginia na jengo lake limepewa jina la George Bush center for intelligence.
2. FSB HQ la urusi lipo mtaa wa lubyanka na jengo linaitwa lubyanka Moscow.
3. MI6 HQ la uingereza lipo vauxhall cross bridge pembeni ya mto thames.
4. Mossad HQ ipo Jerusalem karibu na mtaa ambapo pia ndio makao makuu ya makazi ya waziri mkuu was Israel. Mtaa wa Beit Aghion.
5. BND kirefu chake ni Bundesnachrichtendienst lipo Berlin. Pia ndio shirika la ujasusi lenye majengo mengi kuliko yote duniani.
Waweza ongezea uyajuayo.