Wachaga: Shirima, Laswai, Ngowi, Ngoo, Ngooh, Mrina, Mremi, Minja, Utou, Urassa, Ulomi, Salema, Salemi, Tairo, Asenga, Macha, Mmasi, Assey, Mrina, Lamwai, Lyaruu, Lyamuya, Ushaki, Mashele, Mshanga, Mmanda, Merinyo, Kinabo, Mbowe, Kitilya, Mlay, Mamseri, na wengineo ENDELEA
kuna jambo ambalo wamejipatia umaarufu nalo-ushirikiana ktk biashara.:wink:jamani mbona WAKINGA hawajulikani kwa nini?hili kabila watu wanalisahau kabisa kwa nini?
Wamanda toka Mwambao wa Ziwa Nyasa Mbinga-Ruvuma.
mahundi
nyandidi
muhagama
mpangala
ndonde
mapunda
henjewele
njowoka
hinju
ngatunga
chale
kolimba
haule..................
nijuavyo mimi hao pia ni jamii ya kingoni ila waliloea ktk mwambao wa ziwa nyasa.lugha yao ni kimanda ambayo kufanana kwa karibu sana na kinyasa cha kimalawi.Hivi Wamanda na Wanyasa ni makabila au ni WANGONI wa Mwambao?
Wafipa,kuna nkoswe, mpambwe, khamsini, mwanakatwe, nswima, mzindakaya, simbakavu, ngoni tribe of war kuna soko, moyo, nguruwe, mbuzi, fusi, nyoni, tembo, njovu, na wengineo jamani mkisikia akina komba, ndomba, nchimbi, ndunguru, kumburu, nkondola hawa si wangoni hawa ni wanyasa watu wa ziwani mbinga huko, wangoni wenyewe halisi ndo hayo majina ya juu hapo niliyowawekea akina soko, kuna kina kanjolonga
Hivi Wamanda na Wanyasa ni makabila au ni WANGONI wa Mwambao?
15. Wamakonde
Bachikeli
Chumuni
Chilingi
Mutoka
Nyumba
Chimu
- Kolugeti
- Nkapa
- Vodakomu
Wanyamwezi?????