ALWATAN KIZIGO
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 539
- 642
Katika jamii ya Freemason alama ya jicho na alama ya pembe tatu ni miongoni mwa alama kuu za ibada katika jamii hiyo.
Alama ya jicho (All seeing eye ) ni alama ya jicho la muungu wa kifremason aitwaye Horus.
Na alama ya pembe tatu inamaanisha miungu mitatu ya freeamason ambayo ni muungu wa kike aitwaye Isis, muungu wa kiume osirus na muungu wa kuzalisha amabaye ni horus.
Sasa kiasili jamii hii ya freemason ni ya wajenzi huru wa majengo makubwa makubw ana madaraja .
Sasa ni kawaida yao kampuni za kifreemason zikijenga majengo kuacha alama (Symbol) katika majengo hayo .
Alama hizo (Symbol) ni alama ya jicho na alama pyramid.
Yafuatayo ni majengo yaliyojengwa na kampuni za kifreemason kutoka a na alama zao walizoziacha hapo.
1.Jengo la machinga complex Ilala .Ukiliangalia kwa juu lina alama ya pembe tatu na duara linaloashiria jicho.
2.Jengo la walimu Ilala Boma .Lina alama ya pembe tatu na duara la jicho.
3.jengo la bunge lina alama ya pembe tatu na jicho.
Hata katika meza za bungeni tazameni kwa makini kuna alama ya pembe tatu.
5.Jengo la mawasiliano kwa juu lina alama ya pembe tatu.
6.Majengo pacha ya bot yanaashiria Namba 11ambayo ni number ya kafara ya Freemason.(Mnakumbuka tukio la September eleven 11).
Pia alama za clock tower kuanzia za kule London hadi pale posta ni miongoni mwa ujanja ujanja wa Freemason katika kuweka alama zao katika miji mikubwa duniani na new world order.
Kazi kwenu wadau kuchunguza alama hizo katika majengo hayo na majengo mengine pia nchini
Alama ya jicho (All seeing eye ) ni alama ya jicho la muungu wa kifremason aitwaye Horus.
Na alama ya pembe tatu inamaanisha miungu mitatu ya freeamason ambayo ni muungu wa kike aitwaye Isis, muungu wa kiume osirus na muungu wa kuzalisha amabaye ni horus.
Sasa kiasili jamii hii ya freemason ni ya wajenzi huru wa majengo makubwa makubw ana madaraja .
Sasa ni kawaida yao kampuni za kifreemason zikijenga majengo kuacha alama (Symbol) katika majengo hayo .
Alama hizo (Symbol) ni alama ya jicho na alama pyramid.
Yafuatayo ni majengo yaliyojengwa na kampuni za kifreemason kutoka a na alama zao walizoziacha hapo.
1.Jengo la machinga complex Ilala .Ukiliangalia kwa juu lina alama ya pembe tatu na duara linaloashiria jicho.
2.Jengo la walimu Ilala Boma .Lina alama ya pembe tatu na duara la jicho.
3.jengo la bunge lina alama ya pembe tatu na jicho.
Hata katika meza za bungeni tazameni kwa makini kuna alama ya pembe tatu.
5.Jengo la mawasiliano kwa juu lina alama ya pembe tatu.
6.Majengo pacha ya bot yanaashiria Namba 11ambayo ni number ya kafara ya Freemason.(Mnakumbuka tukio la September eleven 11).
Pia alama za clock tower kuanzia za kule London hadi pale posta ni miongoni mwa ujanja ujanja wa Freemason katika kuweka alama zao katika miji mikubwa duniani na new world order.
Kazi kwenu wadau kuchunguza alama hizo katika majengo hayo na majengo mengine pia nchini