Kabla ya kuanzisha vita yoyote na mtanzania ambae ni raisi wa nchi inakupasa ujue unapambana na nani,
1) Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, unatakiwa kutambua kua unapopambana na mtu huyu ujue unapambana na boss wa Police, Uhamiaji, Zimamoto, Magereza, JKT, JWTZ na TISS.
Kama una ubavu wa kupambana na mtu huyu inakupasa ujue hiyo vita yako unapigana na mtu wa namna gani na wew una nani nyuma yako? Ukijiona huna lala Lea wanao
2) Mwenyekiti wa CCM taifa, utapigana na mwenyekiti wa chama taifa chama choote bosi wao yeye, anaweza kumvua na kumvisha yoyote uanachama sasa kama upo ndani ya chama unataka vita na yeye unakumbushwa mwenyekiti hajawahi popote kupoteza pambano au vita ndani ya chama.
1) Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, unatakiwa kutambua kua unapopambana na mtu huyu ujue unapambana na boss wa Police, Uhamiaji, Zimamoto, Magereza, JKT, JWTZ na TISS.
Kama una ubavu wa kupambana na mtu huyu inakupasa ujue hiyo vita yako unapigana na mtu wa namna gani na wew una nani nyuma yako? Ukijiona huna lala Lea wanao
2) Mwenyekiti wa CCM taifa, utapigana na mwenyekiti wa chama taifa chama choote bosi wao yeye, anaweza kumvua na kumvisha yoyote uanachama sasa kama upo ndani ya chama unataka vita na yeye unakumbushwa mwenyekiti hajawahi popote kupoteza pambano au vita ndani ya chama.