Yajue magari makubwa zaidi duniani

Kama uwezo na nia ya kuziunda ungekuwepi chuma sio shida unaweza agiza ata nje.
Kuagiza kilichokuwa tayari ni ghali sana. Maana viwanda hivyo huendeshwa na viwanda vingine vingi. Huyu anatengeneza rim za tairi, yule bodi, huyu injini. Viwanda kibao. Wote hao hawawezi kuagiza kwa bei shindani. Ila mkiww na chuma humuhumu ndani no rahisi mtu kuanza kutengeneza nuts, bearinngs nk. Upatikaji wa malighafi kwa urahisi ni jambo la muhimu sana.
 
Midubwana hiyo ni lazima ibwebwe kwenye matrela, kwasababu hayo ni ma heavyweight hayana mbio, basi yanako hitajika husafirishwa kwa kubebwa na matrela
Hizo zikipita kwenye barabara zetu lazma ziharibu
 
Bujibuji nilikua naangalia kama wachina nao wamo, kumbe hamna kitu.
1 BELAZ: 7571O. BELARUS nchi ndogo toka SOVIETS UNION(ya zamani) lakini ni ndogo kwa watu na ardhi sio kwa technology, BELARUS kitecnology ni vichwa sawa na Russia.
View attachment 1872619
Wenzetu wamewekeza kwenye elimu ya manufaa. Elimu yetu ni ya hovyo kabisa.
 
Kijana, numekumbia usiseme uongo.
Caspian amekua sub contractor kwenye migodi ya Barrick yes, lakini mgodi wa Bulyanhulu hauwawezi tumia machine hizi kwasababu ni Underground Mine.
Na hata inapotokea Sub anapewa contract ya kujenga bwawa hawezi kuleta ama kutumia mashine za aina hii..
Hizi machine sana zinatumika Buzwagi, Geita (GGM) na North Mara (Nyamongo).
Tena usizungumzie uwepo wako wakati wa kujenga mabwawa ya Zebaki, watu tulikuepo hata kabla Main Shaft haijachimbwa na kujengwa. Yaani tulikuepo kipindi Skanska wakitoboa Box Cut. Hapa namaanisha nimekuwepo hata kabla hiyo Zebaki haijaanza kutumika migodini na sikuzile tulipaita Tellings Dam.
I appreciate, so mkuu bado unatinga?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom