Yajue maeneo ambayo vijana hupendelea kununua na kujenga piping

Sep 27, 2019
67
46
Kuna neno vijana na watu wa makamu kidogo hupendelea kusema hotcake area pale inapofika kutimiza ndoto zao za kununua viwanja na kutaka kujenga basi hukaa na kushilikishana kujua maeneo mazuri na yamepangika vizur na kuna hadhi ya wenyew kununua ili asiseme Nakaa Dar bali Naishi Dar(mana kuna tofauti katika maneno hayo).

Basi kutokana na tafiti iliyofanywa na kampuni yetu na kuchukua uzoefu wa uuzaji na ununuaji wa maeneo tumegundua hizi ndio sehemu zinazoongoza kupendwa na vijana;-

1. GOBA

2. MBWENI

3. MADALE

5. BUNJU

6. KIGAMBONI

7. MBEZI MSAKUZI

8. KIFURU

9. MBEZI MPIGI MAGOE

10. DODOMA


Nakushauri kijana wa sasa ukihitaji kununua hotcake areas nenda kwa hawa jamaa SUSTAINABLE CITIES COMPANY LIMITED mana maeneo yao yamepimwa na yana hati miliki na bei zao nzuri.
 
Mods rekebisheni heading isomeke "Yajue maeneo ambayo vijana hupendelea kununua na kujenga wakati huu "
 
Nina eneo Kigamboni, Mwasonga Sqm 1 nauza Tshs 7,000/= Kuna Sqm zaidi ya 40,000
 
MBWENI USALAMA

Eneo lipo mita 100 kutoka barabara ya Lami

Eneo limezungukwa na watu wanaojiweza

Tupigie; 0713132109, 0752602988
MBWENI.jpg
 
Kuna neno vijana na watu wa makamu kidogo hupendelea kusema hotcake area pale inapofika kutimiza ndoto zao za kununua viwanja na kutaka kujenga basi hukaa na kushilikishana kujua maeneo mazuri na yamepangika vizur na kuna hadhi ya wenyew kununua ili asiseme Nakaa Dar bali Naishi Dar(mana kuna tofauti katika maneno hayo).

Basi kutokana na tafiti iliyofanywa na kampuni yetu na kuchukua uzoefu wa uuzaji na ununuaji wa maeneo tumegundua hizi ndio sehemu zinazoongoza kupendwa na vijana;-

1. GOBA

2. MBWENI

3. MADALE

5. BUNJU

6. KIGAMBONI

7. MBEZI MSAKUZI

8. KIFURU

9. MBEZI MPIGI MAGOE

10. DODOMA


Nakushauri kijana wa sasa ukihitaji kununua hotcake areas nenda kwa hawa jamaa SUSTAINABLE CITIES COMPANY LIMITED mana maeneo yao yamepimwa na yana hati miliki na bei zao nzuri.
Dodoma mna viwanja sehemu gani? Sh ngapi kwa sqm??? Na viwanja vina ukubwa gani?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom