financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,133
- 40,697
Aisee ahsante kwa kushare nasi dear, kweli ukubwa dawa, sitokua na budi kuvumilia tu yatapita. Ila ile furaha ya kumuona mwanangu nadhani hayo yote yanaweza kuvumilika tu. I can't wait to meet my own baby ile feeling yake for the first time aah😍😍. Mungu tujalie uzao mwema.Acha tambara la mtandio mwepesiunakandwa nalo mwili mzima hapo tumboni analikusanya anakubandika,Mimi naliaaaa.... Mda wa kuoga ukifika tu naanza kulia.. Hukimbii unavumilia tu Dada maana ukubwa umekukuta..
Yanasaidia kiasi maji moto lakini kupunguza tumbo ukijifunga jitahidi kulifunga na kanga vzr dada