Yahya Mohamed, wewe ni memba hapa JF naomba unipe jibu:
Hivi ni kweli Waandishi wa habari waache kumwandika DR Ulimboka kwa sababu wanampa kichwa na wananchi wamechoka habari zake?
Je, ni kweli madaktari wanamuona Dr Ulimboka anafanya nchi isitawalike na wanamuona ni mchochezi?
Je, uliyosema leo kwenye kipindi cha tuongee asubuhi baada ya kusoma gazeti mtaandaoni la the Citizen, wananchi wamechoka kusikia habari za Dr Ulimboka?
Je, Yahaya wewe ni mwandishi mwanaharakati unafuatilia habari mpaka upate jibu na kuwahabarisha wananchi au wewe una masilahi binafsi?
Je, Yahaya umefanya haki kuwazodoa waandishi wenzako kwamba wanamwendekeza na kumukweza Dr Ulimboka?
Leo umenisikitisha sana, I am one of you fans but I have been deeply disappointed with your today's comments. I think you used a very wrong platform.
Hivi ni kweli Waandishi wa habari waache kumwandika DR Ulimboka kwa sababu wanampa kichwa na wananchi wamechoka habari zake?
Je, ni kweli madaktari wanamuona Dr Ulimboka anafanya nchi isitawalike na wanamuona ni mchochezi?
Je, uliyosema leo kwenye kipindi cha tuongee asubuhi baada ya kusoma gazeti mtaandaoni la the Citizen, wananchi wamechoka kusikia habari za Dr Ulimboka?
Je, Yahaya wewe ni mwandishi mwanaharakati unafuatilia habari mpaka upate jibu na kuwahabarisha wananchi au wewe una masilahi binafsi?
Je, Yahaya umefanya haki kuwazodoa waandishi wenzako kwamba wanamwendekeza na kumukweza Dr Ulimboka?
Leo umenisikitisha sana, I am one of you fans but I have been deeply disappointed with your today's comments. I think you used a very wrong platform.
Last edited by a moderator: