Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,773
- 2,544
Wapendwa, husikeni na kichwa cha habari. Baada ya kuona uandishi wa riwaya hauna tija, wazo limenijia kuwa mtunzi wa filamu. Sijajua script inaandikwaje. Nauhitaji huu utaalam niweze kuleta mapinduzi fulani kwenye tasnia ya sinema, bongo. Naombeni mawazo yenu